Facebook

Wednesday, 11 June 2014

Picha za mazishi ya mzee Small.

umati 

Ni msiba wa 4 mfululizo ndani ya mwezi mmoja kutoka tasnia ya filamu Tanzania,Jioni ya June 09 Said Ngamba au Mzee Small alizikwa na mazishi yake kuhudhuriwa na watu mbalimbali wa serikali,vyama,wasanii na wananchi wa kawaida.
miongoni mwa watu ambao walihudhuria ni pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete,ilianza kusomwa dua nyumbani kisha baada ya dua kukamilika ilianza safari ya kuelekea kwenye makaburi ya Segerea sehemu ambayo aliomba mwenyewe Mzee Small kuwa kama akifa azikwe hapo.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya Mzee Small.
watuu
watu
jk
jk mchango
jeneza
kabuli
mwili kwny gari
jkkk
jenezaaa

Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment