Kama unakumbuka nilikuhabarisha kuwa Diamond alifanya collable na msanii
mwanadada mkubwa kutoka Nigeria anaeitwa Waje, Waje ndio alieomba
collabo kwa Diamond na collabo hiyo ilifanyika Nigeria wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kilimo.
Safari hii imekuwa ni wasanii wakubwa wa nje kuomba collablo kwa Diamond
tofauti na tulivyozoea wasanii wetu kuomba collablo kujitangaza nje.
Mafikizolo kutoka South Africa wameomba collablo na Diamond na baada ya
kukutana katika tuzo za MAMA na tayari imeshafanyika katika studio za
huko huko South Africa
Jana (June 9) waliingia studio na ku-record collable hiyo
Mafikizolo ni washindi wa tuzo mbili za MAMA 20114 zilizofanyika Durban, South Africa jumamosi iliyopita
Hatimae mpango huo wa Mafikizolo wa South Africa ambao ni mastaa wa hit
single ya ‘khona’ waliochukua tuzo mbili kwenye MTV Africa music awards
2014 kufanya collabo na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa June 9 2014.
Diamond pamoja na mameneja wake wawili ambao ni Salam na Bab Tale waliongozana mpaka kwenye studio za msanii mkongwe aitwae Oskido ili kurekodi collabo hiyo ya Mafikizolo, kundi la Afrika kusini lililorudi kwenye chati kupitia mikono ya Oskido.
Mafikizolo waliomba kurekodi wimbo na Diamond baada ya kushawishika kufanya nae collabo hivyo wakaahidi kushughulikia gharama zote za kumuongezea Diamond muda wa kuendelea kukaa South Africa pamoja na kubadili ticket ya ndege ili wakamilishe kazi yao.
Diamond pamoja na mameneja wake wawili ambao ni Salam na Bab Tale waliongozana mpaka kwenye studio za msanii mkongwe aitwae Oskido ili kurekodi collabo hiyo ya Mafikizolo, kundi la Afrika kusini lililorudi kwenye chati kupitia mikono ya Oskido.
Mafikizolo waliomba kurekodi wimbo na Diamond baada ya kushawishika kufanya nae collabo hivyo wakaahidi kushughulikia gharama zote za kumuongezea Diamond muda wa kuendelea kukaa South Africa pamoja na kubadili ticket ya ndege ili wakamilishe kazi yao.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment