Facebook

Thursday, 5 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya

Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA
Manchester City wanakaribia kumsajili Fernando kutoka Porto kwa pauni milioni 15 (Daily Mirror), kiungo wa Arsenal Santi Cazorla amemtaka Mspanish mwenzake Cesc Fabregas kurejea Emirates (Metro), Edin Hazard amepewa jezi namba 10 msimu ujao. PSG wanamtaka kwa pauni milioni 61, lakini mwenyewe amesema hatoondoka baada ya kupewa namba 10 (Daily Mail), Diego Costa yuko karibu sana kusaini Chelsea kwa pauni milioni 32, kilichosalia tu ni vipimo vya afya (Telegraph), Louis van Gaal anaamini Uholanzi haina budi kumshukuru David Moyes kwa kumfanya Robin van Persie kuwa hatari zaidi katika Kombe la Dunia (Daily Mirror), Cesc Fabregas amekubali kusaini mkataba na Chelsea. Kilichosalia ni makubaliano ya ada ya uhamisho, Barcelona wakiwa wanataka Euro milioni 36 (Mundo Deportivo), Koke, Fabregas na Paul Pogba wa Juventus, wote wapo kwenye 'rada' za Chelsea ili kuchukua nafasi ya Frank Lampard (Evening Standard). Share tetesi hizi na wapenzi wote wa soka. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
 
Manchester City wanakaribia kumsajili Fernando kutoka Porto kwa pauni milioni 15 (Daily Mirror), 
 
kiungo wa Arsenal Santi Cazorla amemtaka Mspanish mwenzake Cesc Fabregas kurejea Emirates (Metro),
 
 Edin Hazard amepewa jezi namba 10 msimu ujao. PSG wanamtaka kwa pauni milioni 61, lakini mwenyewe amesema hatoondoka baada ya kupewa namba 10 (Daily Mail),
 
 Diego Costa yuko karibu sana kusaini Chelsea kwa pauni milioni 32, kilichosalia tu ni vipimo vya afya (Telegraph),
 
 Louis van Gaal anaamini Uholanzi haina budi kumshukuru David Moyes kwa kumfanya Robin van Persie kuwa hatari zaidi katika Kombe la Dunia (Daily Mirror),
 
 Cesc Fabregas amekubali kusaini mkataba na Chelsea. Kilichosalia ni makubaliano ya ada ya uhamisho, Barcelona wakiwa wanataka Euro milioni 36 (Mundo Deportivo), 
 
Koke, Fabregas na Paul Pogba wa Juventus, wote wapo kwenye 'rada' za Chelsea ili kuchukua nafasi ya Frank Lampard (Evening Standard).
 
 Share tetesi hizi na wapenzi wote wa soka. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. 
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.

Related Posts:

  • Van Persie hatihati kusalia Man United Mshambuliaji wa Manchester United Robin van Persie amekubali kuondolewa Old Trafford baada ya kupitia magumu msimu huu.Mshambuliaji wa Manchester United ana mwaka mmoja tu wa kumaliza mkataba wake wa sasa.Van Persie ana ma… Read More
  • Man City yamnyatia Isco.Manchester City inataka kupata saini ya kiungo wa Real Madrid Isco. Mchezaji huyo miaka 23 hajui hatima yake Santiago Bernabeu baada ya ujio wa meneja mpya Rafa Benitez.Isco alijiunga na Real Madrid kwa ada ya Euro milioni30 … Read More
  • Chelsea yarusha ndoano kwa Gundogan.Timu ya chelsea inatajwa katika mbio za kuhitaji saini ya mchezaji IIkay Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na vilabu vingine vya Barcelona, Manchester United.Bayern na Ars… Read More
  • Tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Dau la Manchester United la pauni milioni 110 kwa Real Madrid kumtaka Gareth Bale, 25 na beki Rafael Varane, 22 limekataliwa na klabu hiyo ya La Liga (Daily Express),   Real Madrid wana uhakika wa kumsajili kwa pauni m… Read More
  • Yaya Toure 'Siondoki Man City'Mchezaji Yaya Toure amethibitisha kuendelea kukipiga Manchester City msimu ujao, na anafuraha na heshima kwake kuendelea kuwepo Etihad pamoja na kuwepo na uvumi wa kuhamia timu ya Inter Milan ya Italy.Kiungo huyo miaka 32 … Read More

0 comments:

Post a Comment