Facebook

Monday, 16 June 2014

Thomas Vermaelen atua Manchester United !

 

Kuna taarifa nzito kuwa Thomas Vermaelen wa Arsenal anakaribia kusaini Manchester United. 

Inasemekana atahama kutoka Arsenal kwende Manchester United kwa ada ya uhamisho ambayo haijafahamika huku akitarajia kupokea kiasi cha mshahara Paundi 100,000 kwa wiki

Magazeti ya Daily Telegraph, The Times, Daily Mail,Daily Mirror na mtandao wa SKY Spoprts umetaja taarifa hii..


Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment