Facebook

Monday, 16 June 2014

PIGA BAO KUPATA BUSU KWA BLACK STARS


 PIGA BAO KUPATA BUSU KWA BLACK STARS
Wakati Ghana inajiandaa kukabiliana na Marekani leo katika Kombe la Dunia, mcheza filamu maarufu wa Ghana Nikki Samonas amesema atampa busu zito mchezaji yeyote wa Ghana atakayefunga bao la kwanza hii leo.
Kwa mujibu wa Nikki, busu hilo litakuwa zito na tamu kwa sababu yeye ni 'mbusuji' mzuri na hiyo ni ahadi ametoa.
Amesema kwa kuwa hayupo Brazil kwa sasa busu hilo litatolewa wakati wachezaji wa Black Stars watakaporejea.
Taarifa na picha kwa hisani ya Showbiz News.

Wakati Ghana inajiandaa kukabiliana na Marekani leo katika Kombe la Dunia, mcheza filamu maarufu wa Ghana Nikki Samonas amesema atampa busu zito mchezaji yeyote wa Ghana atakayefunga bao la kwanza hii leo.


Kwa mujibu wa Nikki, busu hilo litakuwa zito na tamu kwa sababu yeye ni 'mbusuji' mzuri na hiyo ni ahadi ametoa.
Amesema kwa kuwa hayupo Brazil kwa sasa busu hilo litatolewa wakati wachezaji wa Black Stars watakaporejea.



Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

0 comments:

Post a Comment