Facebook

Monday, 16 June 2014

Misri waiomba YouTube kuondoa video ya mwanamke aliyebakwa

Waandamanaji wakiwa wameshika mabango kupinga kuonyeshwa kwa video ya mwanamke kubakwa Misri.
Waandamanaji wakiwa wameshika mabango kupinga kuonyeshwa kwa video ya mwanamke aliyebakwa Misri.
Misri imeiomba YouTube kuondoa video ya mwanamke anayedhalilishwa kijinsia wakati wa mkutano kwenye medani ya Tahrir akimuunga mkono rais mpya mteule.
Msemaji wa Rais Abdul Fattah al-Sisi alisema ombi hilo lilifanywa na ubalozi wa Misri mjini Washington.
Mwanamke huyo ameomba kuondolewa kwa video hiyo wakati Sisi alipomtembelea hospitali siku ya Jumatano, alisema.
YouTube hawajajibu maombi ya taarifa hiyo.
Video hiyo, ambayo inamuonyesha mwanamke huyo akivuliwa nguo na kuvamiwa katika medani ya mji mkuu ya Tahrir, iliyorushwa wiki hii.
Msururu wa mashambulio wakati wa sherehe za hivi karibuni umesababisha jazba.


Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • Ndege iliyopotea yaendelea kutafutwa   Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imeendelea leo tena baada ya kusitishwa kwa muda. Watu 162 walikuwa kwenye ndege hiyo wakati ikipoteza mawasiliano na kituo cha kuelekeza safari za … Read More
  • Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama   Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic. Maofisa nchin… Read More
  • Aliyetaka kumuua Papa John Paul amuenzi   Mwanamme mmoja raia wa Uturuki aliyempiga risasi na nusura amuue aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoliki papa John Paul wa pili mwaka 1981 ameweka maua kwenye kaburi lake katika makao makuu ya kanisa katoliki ya Vat… Read More
  • BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 29 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika … Read More
  • Korea Kazkazini yamtukana Obama   Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita. Tume ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani inavuruga mifumo ya mitandao ya nchi hi… Read More

0 comments:

Post a Comment