Misri imeiomba YouTube kuondoa video ya mwanamke anayedhalilishwa
kijinsia wakati wa mkutano kwenye medani ya Tahrir akimuunga mkono rais
mpya mteule.
Msemaji wa Rais Abdul Fattah al-Sisi alisema ombi hilo lilifanywa na ubalozi wa Misri mjini Washington.
Mwanamke huyo ameomba kuondolewa kwa video hiyo wakati Sisi alipomtembelea hospitali siku ya Jumatano, alisema.
YouTube hawajajibu maombi ya taarifa hiyo.
Video hiyo, ambayo inamuonyesha mwanamke huyo akivuliwa nguo na kuvamiwa katika medani ya mji mkuu ya Tahrir, iliyorushwa wiki hii.
Msururu wa mashambulio wakati wa sherehe za hivi karibuni umesababisha jazba.
Msemaji wa Rais Abdul Fattah al-Sisi alisema ombi hilo lilifanywa na ubalozi wa Misri mjini Washington.
Mwanamke huyo ameomba kuondolewa kwa video hiyo wakati Sisi alipomtembelea hospitali siku ya Jumatano, alisema.
YouTube hawajajibu maombi ya taarifa hiyo.
Video hiyo, ambayo inamuonyesha mwanamke huyo akivuliwa nguo na kuvamiwa katika medani ya mji mkuu ya Tahrir, iliyorushwa wiki hii.
Msururu wa mashambulio wakati wa sherehe za hivi karibuni umesababisha jazba.
Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
0 comments:
Post a Comment