Facebook

Monday, 9 June 2014

Papa awapokea viongozi wa Israel na Palestina.

Mahmoud Abbas, Papa na Shimon Peres Vatikani
Papa Francis amewapokea viongozi wa Israil na Palestina katika Vatikani.
Rais Shimon Peres wa Israil na Mahmoud Abbas wa Palestina walikutana Vatikani kuomba amani Mashariki ya Kati.
Viongozi hao wawili walikutana na Papa nje ya nyumba yake, kabla ya kusafiri pamoja naye na kiongozi wa kanisa la Orthodox, Askofu Mkuu Bartholomew, hadi kwenye sherehe katika bustani ya Vatikani.
Wakitarajiwa kupandisha mzaituni kama alama ya kudumu ya hamu ya pande zote mbili ya kupata amani baina ya watu wa Israil na Palestina.
Papa alisema yeye hataki kuhusika moja-kwa-moja na mazungumzo ya amani, lakini anatumai viongozi hao wakikutana, huenda ikasaidia kupunguza uhasama kati yao.



Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....


Related Posts:

  • Mamia wateketea na Ebola Afrika Magharibi.   Maafisa wa afya wa Afrika Magharibi wanasema watu 25 zaidi wamekufa kutokana na maradhi ya Ebola tangu Julai 3, na kusababisha idadi ya waliokufa hadi sasa kufikia 518. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema … Read More
  • Tufani kubwa na lenye nguvu laelekea Japan.     Maelfu ya watu wametakiwa kutafuta hifadhi salama wakati tufani lenye nguvu likipita katika kisiwa cha Okinawa nchini Japan. Tufani hilo lililopewa jina la Neoguri lilotarajiwa kukatisha katika kisiwa cha… Read More
  • Wasichana 60 waliotekwa na Boko Haram Watoroka.    Zaidi ya wanawake na wasichana 60 wameripotowa kutoroka kutoka katika kundi la Boko Haram, kwa mujibu wa vyanzo vya kiusalama. Wanawake na wasichana hao ni miongoni mwa 68 waliotekwa mwezi uliopita karibu na… Read More
  • Watu 50 wakamatwa wanaoshukiwa katika milipuko Kenya.   Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashamb… Read More
  • Ebola yaanza kuonekana Ghana.    Ghana inatibu mtu mmoja anayedhaniwa kuwa na Ebola, kwa mujibu wa wizara ya afya. Ebola imesababisha vifo vya zaidi ya watu 460 mpaka sasa tangu ugonjwa huo ulipoanza nchini Guinea mwezi Februari, na kusam… Read More

0 comments:

Post a Comment