Danny Welbeck straika mpya wa Arsenal
alifunga mara mbili kuisaidia England
kuifunga Switzerland kwa bao 2-0 katika
mchezo wa kufuzu michuano ya Euro 2016.
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester
United aliziona vyavu dakika ya 58 na lingine
katika muda wa nyongeza. Kwa ushindi huo
England sasa inaongoza kundi E ikiwa na
pointi 3.
Danny alifanya yake baada ya kupewa nafasi
kama straika wa kati akichukua nafasi ya
Daniel Sturridge aliye majeruhi.
Tuesday, 9 September 2014
Danny Welbeck aing'arisha Uingereza.
Related Posts:
Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 24BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
Msimamo wa Ligi Kuu Hispania-La Liga… Read More
Chelsea kukata rufaa kadi nyekundu ya Matic Chelsea watakata rufaa kupinga kadi nyekundu aliyooneshwa Nemanja Matic katika mchezo dhidi ya Burnley siku ya Jumamosi uliomalizika kwa 1-1. Kiungo huyo kutoka Serbia, alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma Ashle… Read More
Barnes aepuka adhabau baada ya kumchezeza vibaya Matic. Mshambuliaji wa Burnley Ashley Barnes hatokabiliwa na adhabu yoyote kutoka kwa FA kwa jinsi alivyomkabili Nemanja Matic, katika mchezo ulioishia kwa sare ya 1-1 na Chelsea. Barnes aliupata mpira, lakini alimkwatua Matic… Read More
0 comments:
Post a Comment