Facebook

Tuesday, 9 September 2014

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olesugun Obasanjo amejeruhiwa kwa risasi na Boko Haram.

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Nigeria,
Olesugun Obasanjo amejeruhiwa kwa risasi
wakati wa mapambano na wanamgambo wa
kiislamu Boko Haram.

Luteni Kanali Adeboye Obasanjo alijeruhiwa
siku ya jumatatu wakati jeshi la Nigeria
lilipokuwa likipambana kuudhibiti mji wa
Michika karibu na mji wa Mubi mji uliokuwa
ukidhibitiwa na wanamgambo katika jimbo la
Adamawa.

Msemaji wa zamani wa Olusegun Obasanjo
amesema kuwa kanali Adeboye
anaendela vizuri.

Wakazi wa eneo hilo wanasema kuwa maelfu
ya watu wameyakimbia makazi yao, wanajeshi
wameondoka kwenye kambi za kijeshi na chuo
katika jimbo hilo kufungwa.
Wanamgambo wa Boko haram wamedhibiti miji
mingi kaskazini mashariki na kutangaza kuwa
himaya za kiislamu

Related Posts:

  • Kiongozi wa upinzani Ethiopia aonyeshwa kwenye TV Andargachew Tsege alikamatwa akiwa safariki kutoka Milki za kiarabu Kiongozi wa upinzani nchini Ethiopia, Andargachew Tsege, ameonekana kwenye televishen… Read More
  • Viongozi wa Usalama Somalia wafukuzwa kazi. Maafisa wakuu wa usalama na wa polisi wamefukuzwa kazi kufuatia kundi la al-Shabab kushambulia ikulu ya Somalia, amesema waziri mmoja. Washambuliaji watatu waliuawa na wa nne kukamatwa, imesema ofisi ya rais. Al-Shaba… Read More
  • AL Shabaab washambulia ikulu Somalia wapiganaji wa AL shabaab Vikosi vya serikali Somalia vimefanikiwa kuidhibiti upya ikulu ya rais katika mji mkuu Mogadishu baada ya hapo awali wapiganaji wa kiislamu kuishambulia. Maafisa wanasema washambuliaji wapa… Read More
  • Wanasayansi wagundua mapya kuhusu Malaria Kulingana na uchunguzi wa vimelea vinavyosababisha Malaria huweza kuishi kwenye  uboho (bone marrow) na kuepuka kinga za mwili na hivyo basi kusababisha maradhi. Uchunguzi huu umedhi… Read More
  • Makanisa kupunguzwa Burundi     Bunge la Burundi limepitisha muswada unaolenga kupambana na "mfumuko wa makanisa" nchini humo. Utafiti wa serikali mwaka jana uligundua kuwepo na madhehebu 557. Sheria mpya zinataka makanisa kuwa na wafua… Read More

0 comments:

Post a Comment