Watu wanne - Watanzania wawili na
Wanyarwanda wawili- waliokutwa na hatia ya
kutaka kumuua mkosoaji wa Rais wa Rwanda
Paul Kagame nchini Afrika Kusini wamehukumiwa
kwenda jela kwa miaka minane kila mmoja. Mkuu
wa zamani wa jeshi la Rwanda Jenerali Faustin
Kayumba Nyamwasa alinusurika jaribio hilo
karibu na nyumbani wake jijini Johannesburg
mwaka 2010. Rwanda imekuwa ikikanusha
kuhusika na tukio hilo. Waendesha mashtaka
awali walitaka adhabu ya miaka kumi na mitano.
Jaji Stanley Mkhari amesema watu hao hawakuwa
wahusika wakuu, bali walikodishwa kufanya
hivyo.
Friday, 12 September 2014
Miaka 8 jela kwa jaribio la kutaka kumuua mkosoaji wa Rais wa Rwanda
Related Posts:
Congo watangaza hatua mpya za kupambana na Ebola.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza hatua mpya za kupambana na ugonjwa wa Ebola wiki 3 baada ya ugonjwa huo kuwauwa watu 32 miongoni mwa 59 waliombukizwa na virusi hivyo.Waziri wa Afya nchini humo amesema … Read More
Tahadhari kuhusu gesi za sumuMkuu wa shirika la utabiri wa hali ya anga la Umoja wa Mataifa Michel Jarraud, ametoa tahadharti kuwa dunia nzima inapaswa kushughulikia mabadiliko ya hali ya anga haraka iwezekanavyo la sivyo muda unakwisha. Takwimu mpya kut… Read More
WAPENZI WA JINSIA MOJA WAFUNGA NDOA BAADA YA KUISHI PAMOJA MIAKA 72Zaidi ya miongo sabini baada ya kuanza uhusiano wa kimapenzi, Vivian Boyack na Alice "Nonie" Dubes wamefunga ndoa. Boyack, 91, na Dubes, 90, walifunga ndoa rasmi Jumamosi iliyopita, limeripoti gazeti la Quad City Times. "Sher… Read More
Wafungwa wapigwa risasi mahakamani Afrika Kusini.Wafungwa wawili wamepigwa risasi walipokuwa wakijaribu kutoroka kutoka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini. Afisa mmoja kutoka wizara ya sheria aliambia chama cha wanahabari nchini humo kwamba wafungwa waliokuwa wanasub… Read More
MWALIMU ALIYEPIGILIWA KWENYE MTI AZUNGUMZIA MASAIBU YAKEMwalimu mmoja nchini Kenya, ambaye aliibiwa fedha zake na yeye mwenyewe kupigiliwa msumari kwenye mti, amezungumzia mkasa huo. Wezi hao walimuibia dola ishirini na nne Peter Asutsa Alhamisi iliyopita, kabla ya kuupigilia kwa … Read More
0 comments:
Post a Comment