Facebook

Saturday 20 September 2014

Yanga yaanza kwa Kipigo,Azam yaangua Kicheko Ligi Kuu Tanzania Bara.

Dar es Salaam Young Africans imeianza ligi
kuu kwa kichapo baada ya kufungwa 2-0 na
Mtibwa Sugar katika mchezo uliofanyika
uwanja wa Jamhuri. Magoli ya Mtibwa
yalifungwa na Musa Hassan Mgosi katika
dakika ya 16 baada ya kupokea pasi nzuri ya
Ame Ali huku bao la pili likifungwa dakika ya
82 naye mpikaji wa goli la kwanza Ame Ali.

Matokeo ya michezo mingine ni kama
ifuatavyo:
Azam FC 3-1 Polisi Morogoro
Mtibwa Sugar 2-0 Yanga
Mbeya City 0-0 JKT Ruvu
Ruvu Shootings 0-2 Prisons
Stand United 0-4 Ndanda FC
Mgambo JKT 1-0 Kagera Sugar

0 comments:

Post a Comment