Facebook

Thursday, 11 September 2014

iPhone 6 Plus yatengenezwa kwa ajili ya Mashabiki wa Manchester United.

Mashabiki ulimwenguni wamesema simu
mpya aina ya iPhone 6 Plus imetolewa
maalum kwa ajili ya mashabiki wa
Manchester United ambayo kwenye simu
ya kawaida haionekani kwa urahisi kwenye
msimamo wa ligi kuu ya England lakini
kupitia Iphone 6 timu hiyo inaoekana
kwenye msimamo ambapo mashetani hao
wekundu wanashikilia nafasi ya 14.

Mashabiki wa United watalazimika
kununua toleo mpya la simu za Iphone
ili wapate fursa ya kuiona timu yao kwa
haraka kwenye msimamo wa Premier
League ambapo wale wenye iPhone 5s
iPhone 6 hawana fursa hiyo.
Ukubwa wa screen iPhone 6 Plus
unaonesha kwa urahisi timu 14, ikiwemo
Manchester United.

iPhone 6 plus itazinduliwa September 19
itaanza kuuzwa kwa paundi 789 simu hiyo
inaukubwa wa GB 128.

Related Posts:

  • Robben: ‘Argentina hawana lolote’ Winga  wa kidachi Arjen Robben amekiponda kikosi cha Argentina kwa kiwango duni walichokionesha mpaka sasa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia, na kusema kuwa hata ushindi wao walioupata dhidi y… Read More
  • Refa wa fainali za Kombe la Dunia atajwa....!              Nicola Rizzoli amechaguliwa na Fifa kuwa mwamuzi katika mchezo wa fainali - Kombe la Dunia Brazil 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.  &n… Read More
  • Van Gaal "Nafasi ya tatu haina maana"    Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amesema kumaliza Kombe la Dunia kwa kucheza kutafuta nafasi ya tatu "si haki". Mholanzi huyo, ambaye timu yake ilipoteza kwa Argentina kwa mikwaju ya penati, atakabiliana na … Read More
  • Van Gaal "Wachezaji walikataa kupiga Penati"     Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amesema wachezaji wake wawili walikataa kupiga penati ya kwanza katika mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Argentina katika Kombe la Dunia. Beki Ron Vlaar alijitolea ku… Read More
  • Mashabiki wa Ghana wazamia Brazil     Zaidi ya mashabiki mia mbili wa soka kutoka Ghana walioingia Brazil kwenda kutazama Kombe la Dunia wameomba hifadhi ya ukimbizi nchini humo.     Polisi wa Brazil katika mji wa Caxias do Sul wa… Read More

0 comments:

Post a Comment