Mkuu wa shirika la utabiri wa hali ya anga
la Umoja wa Mataifa Michel Jarraud,
ametoa tahadharti kuwa dunia nzima
inapaswa kushughulikia mabadiliko ya hali
ya anga haraka iwezekanavyo la sivyo
muda unakwisha.
Takwimu mpya kutoka kwa shirika hilo,
zinaonyesha kuwa viwango vipya vya gesi
yenye sumu ya Carbon katika anga ya dunia
viko juu zaidi.
Pia shirika hilo linasema kuwa kiwango cha
gesi ya sumu ya Carbon Dioxide kinaendelea
kuongezeka kwa kasi kuliko hali ilivyokuwa
miaka mitatu iliyopita.
Shrika la utabiri wa hali ya hewa duniani WMO,
linasema kuwa viwango vya gesi chafu
viliongezeka kwa kasi zaidi tangu mwaka 1984.
Bwana Michel Jarraud alisema kuwa hapana
shaka kwamba mabadiliko ya hali ya anga
yanashuhudiwa na kwamba hali inaendelea
kuwa mbaya zaidi.
Umoja wa mataifa unasema kuwa kuongezeka
kwa gesi hizo kunasababisha mabadilko mabaya
ya hali ya hewa hali ambayo inahitaji kuwe
kauli moja ya mkataba wa dunia nzima kuweza
kukabiliana na hali hiyo.
Wednesday, 10 September 2014
Tahadhari kuhusu gesi za sumu
Related Posts:
Israel yasaidia Nigeria kuwatafuta wasichana Jeshi la Nigeria linafanya kila juhudi kuwatafuta wasichana hao ingawa limelaumiwa kwa kujikokota Kikosi cha Israel cha kukabiliana na ugaidi kinatarajiwa kujiunga na juhudi za kuwatafuta zaidi ya wasichana 2… Read More
Mamia wasambaza ujumbe "Turudishieni wasichana wetu" Kampeni ya mtandao kushinikiza kuachiliwa kwa wasichana takriban 200 wa shule nchini Nigeria waliotekwa na wapiganaji wa Boko Haram sasa imeenea kutoka Niger… Read More
Kumbe 'Jeshi lilipuuza onyo la Boko Haram' Maandamano nchini Nigeria kutaka wasichana waliotekwa nyara kuachiliwa Jeshi la Nigeria lilipata onyo la mapema kuhusu utekaji nyara wa wasichana 270, laki… Read More
Gavana:Nina "taarifa" walipo wasichana.... Gavana wa jimbo la Borno nchini Nigeria,Kashim Shettima amesema ana taarifa za mahali walipo wasichana wanafunzi wapatao 200 waliotekwa na kundi la Kiislam la Boko Haram. Gavana Kashim Shettima amesema ame… Read More
Boko Haram wawaaonyesha wasichana waliotekwa na kutoa tamko lao.. Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa n… Read More
0 comments:
Post a Comment