Paulo Bento amefukuzwa kazi kwenye timu ya
taifa ya Ureno baada ya mwanzo wa mbaya
kwenye michuano ya kugombea nafasi ya
kushiriki michuano ya Euro 2016. Luis Scoral
anapewa nafasi ya kumrithi.
Friday, 12 September 2014
Kocha wa timu ya taifa Ureno;Bento atimuliwa,Scolar akamata mikoba.
Related Posts:
Benitez amwaga Chozi alipokuwa akitambulishwa Real Madrid.KOCHA Rafa Benitez alijikuta anamwaga machozi wakati anatimiza ndoto yake ya maisha alipotambulishwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid. Mzaliwa huyo wa Madrid na kocha wa zamani wa Liverpool alitoa moja ya hotuba za awali il… Read More
Hizi ndizo timu zilizoingiza pesa nyingi Ligi Kuu Uingereza msimu uliopita. Takwimu mpya zimetoka zikionyesha club gani imeingiza kiasi gani kwa msimu uliopita wa 2014/2015.Mpangilio wa table ya ligi haujalishi kwenye swala la kuingiza pesa nyingi. Mfano Manchester united kwenye ligi imeku… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa zote za magazeti yote ya leo. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
Haya ndiyo Magoli 10 bora ya msimu huu ligi Kuu Uingereza. 1. Charlie Adam 2. Juan Mata 3. Jermain Defoe 4. Bobby Zamora 5. Angel di Maria 6. Phil Jagielka 7. Philippe Coutinh 8.Graziano Pelle 9. Jack Wilshere 10. Cesc Fabregas… Read More
Xavi ashindwa kuzuia machozi kwenye "Party" ya kumuaga Camp Nou. MKONGWE, Xavi ameshindwa kuzuia hisia zake na kumwaga machozi wakati shamrashamra za kumuaga Barcelona kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus. Xavi amemshukuru kocha Luis Enrique kwa kumuwezesha kubak… Read More
0 comments:
Post a Comment