Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto,
ameondolewa kwenye nafasi hiyo na nafasi
akapewa Jerry Muro mtangazaji wa zamani wa
ITV na TBC1.
Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema
kuwa uamuzi huo wa Yanga ulitolewa katika
kikao kilichofanyika jana Jumapili ambapo sasa
Kizuguto atakuwa Meneja wa timu.
Monday, 8 September 2014
Jerry Muro apata ulaji Yanga SC.
Related Posts:
Rooney katika mgogoro mzito Brazil Wayne Rooney achezeshwe katika nafasi gani ? Njama dhidi ya Wayne Rooney yaweza kuhatarisha matarajio yao katika kombe la dunia. Frank Lampard ameonya. Uc… Read More
Okocha amlaumu kocha wa Nigeria. Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay Jay Okocha amemlaumu kocha Stephen Keshi kwa timu yake kushindwa kucheza vizuri katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia kundi F dhidi ya Iran siku ya Jumatatu. Timu hizo zilitok… Read More
Ghana yakana mgawanyiko kikosini Ghana ilicharazwa na Marekani mabao mawili kwa moja dhidi ya Marekani katika mechi yao ya kwanza Shirikisho la soka nchini Ghana, limekanusha ripoti za … Read More
Siagi ya Uruguay yanaswa Brazil Siagi ya Uruguay ilinaswa na maafisa wa uwanja wa ndege Brazil Wasimamizi wa uwanja wa ndege Brazil wamezuia takriban kilo 39 za siagi ya… Read More
Uholanzi yasonga mbele, Brazil Uholanzi ni timu ya kwanza kufuzu kwa mkondo wa pili wa kombe la dunia. Uholanzi ilitoka mabao 2-1, nyuma na kuishinda Australia mabao 3-… Read More
0 comments:
Post a Comment