Diego Costa ameshinda tuzo ya mchezaji bora
Premier League kwa mwezi August kwa
kuwapiku Cesc Fabregas (Chelsea), Nathan
Dyer (Swansea),Gylfi Sigurdsson (Swansea) na
Andreas Weimann (Aston Villa).
Mourinho ambaye ndiye anayekinoa kikosi
cha Chelsea amekosa tuzo kama hiyo kwa
upande wa makocha na aliyechukua tuzo hiyo
ni meneja wa Swansea City Garry Monk: kwa
upande wa mameneja wengine waliokua
wakiwania tuzo hiyo ni Paul Lambert (Aston
Villa) na Mark Hughes (Stoke)
Friday, 12 September 2014
Diego Costa mchezaji bora Ligi kuu Uingereza.
Related Posts:
HAYA NDO MAPYA YALIYOBUKA OLD TRAFORD KUHUSU ROJO Mlinzi Marcos Rojo aliyesajiliwa Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya Ureno anakabiliwa na shauri la jinai kwao Argentina, na ndilo linamzuia kuanza kuchezea timu yake mpya. Hadi Jumapili hii asubuhi alikuwa hajapatiw… Read More
Giroud kukaa nje hadi Disemba kutokana na majeruhi. Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud hatocheza hadi mwisho wa Disemba baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na jeraha la mguu. Klabu hiyo ilipata matokeo ya vipimo vya pili siku ya Alhamis, ambavyo vimethibitisha kuwa mchez… Read More
Tambwe afungua akaunti ya magoli.Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Khamisi Tambwe ameanza kuonyesha makali baada ya kupiga bao mbili katika mechi ya jana usiku Simba ilipoiadhibu KMKM ya Zanzibar kwa mabao 5-0. Tambwe raia wa Burundi alipiga bao… Read More
Gerrard akabidhiwa jukumu la "kumfunda" Balloteli.Gerrard amepewa jukumu la kumuongoza kimaadili Mario Balotelli kiwanjani na suala la ndani ya klabu litakua juu ya Brendan Rodgers huku Balotelli mwenyewe akiambiwa ajiangalie nje ya klabu kimatendo na kimaadili, kutokufanya … Read More
Di Maria afanya mazoezi na wachezaji wenzake kwa mara ya kwanza Manchester UnitedMchezaji mpya aliyesajiliwa kwa pesa iliyovunja rekodi katika soko la usajili Ligi Kuu ya Uingereza.Angel Di Maria,kwa mara ya kwanza ameanza kufanya mazoezi na wachezaji wenzake huko Carrington AON Training Complex Baada ya … Read More
0 comments:
Post a Comment