Facebook

Saturday 6 September 2014

Samir Nasri aziogopa Chelsea na Manchester United msimu huu.

SAMIR Nasri anasema timu zitazotoa upinzani
kwa Manchester City msimu huu ni Chelsea na
Manchester United huku akisisitiza kwamba
Liverpool watapata taabu kutokana na ushiriki
wao wa mashindano mengi. - Una maoni gani
juu ya kauli hii ya Nasri

0 comments:

Post a Comment