Leo ni siku ya kuzaliwa ya nyota wa Bongo fleva,Ben
Pol na amechagua kuisherehekea siku hiyo
ndani ya hospitali ya taifa ya Muhimbili wodi
ya watoto kitengo cha mifupa,
Ben Pol ameambatana na wasanii wenzake
Linex, Bob jr na Mwasiti, pamoja na namba
kubwa ya wadau mbalimbali wamesapoti
jambo hili, na leo Ben Pol amekabidhi zawadi
mbalimbali kwa watoto.
Monday, 8 September 2014
BEN POL ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO WODINI MUHIMBILI
Related Posts:
Hivi ndivyo Siasa ilivyozima ndoto za Marlaw Akiwa kijana mdogo ambae alianzia shughuli zake za mziki mji mdogo unaoitwa MASWA huko SHINYANGA Marlaw alikua na ndoto za kua msanii mkubwa kama kina R. Kelly,Usher Raymond na wengine kwani sauti yake ilikua … Read More
Soma alichokiandika Martini Kadinda kuhusiana na Ugomvi wa Wema na Kajala....!!! Wema & Kajala enzi zao Baada ya mambo na thuhuma juu ya Kajala kuwa nyingi, matusi kuongezega na watu wengi wengine kuanza kuhusishwa kwenye so called beef la Wema na Kajala huko Instagram, hatimaye Manger wa… Read More
Unaijua sababu iliyomfanya Diamond kupiga chini show Uingereza ? Fuatilia hapa ! Wakati diamond akiwa anasubiriwa kwa hamu sana huko nchini uingereza, alipokuwa anatarajia kushusha bonge la show kali ya kihistoria usiku wa jumamosi at the rugby 7s after party, na baada ya muda ilisemek… Read More
Jumba La Tony Montana Aliyeigizwa Kwenye Filamu Ya Scarface Laingizwa Sokoni. Jumba alilofia mfanya biashara wa dawa za kulevya maarufa kama Tony Montana na baadae kuchezewa filamu ya maisha yake iliyoitwa Scarface yaingizwa sokoni. Juma hili linaloitwa La casa grande linauzwa dola mi… Read More
Lady Jay Dee aponzwa na kauli kuachwa kwenye KTMA Tour 2014 ...fuatilia hapa kujua kauli aliyoitoa..!! Orodha ya wasanii watakaoshiriki kwenye Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo. Baadhi ya wasanii watakaokuwepo kwenye ziara hiyo wakiwe kwenye picha ya pamoja Mwaka huu zaidi ya wasanii 30 watashiriki kati… Read More
0 comments:
Post a Comment