Mwalimu mmoja nchini Kenya, ambaye aliibiwa
fedha zake na yeye mwenyewe kupigiliwa
msumari kwenye mti, amezungumzia mkasa huo.
Wezi hao walimuibia dola ishirini na nne Peter
Asutsa Alhamisi iliyopita, kabla ya kuupigilia kwa
msumari mkono wake kwenye mti katika msitu
mmoja uliopo Eldoret, magharibi mwa Kenya.
Mwalimu huyo wa mafunzo ya Jumapili (Sunday
School) alikaa kwa saa kumi na sita akiwa katika
maumivu makali kabla ya kuokolewa na polisi.
Amesema aliweza kuwasiliana na mke wake kwa
kutumia simu yake aliyokuwa ameificha kwenye
nguo yake ya ndani.
Tuesday, 9 September 2014
MWALIMU ALIYEPIGILIWA KWENYE MTI AZUNGUMZIA MASAIBU YAKE
Related Posts:
Nigeria:Serikali yabatilisha maamuzi ya kupiga marufuku maandamano ya "Bring Back Our Girls" Waandamanji waliofika mahakamani kupinga marufuku ya maandamano Abuja Serikali ya nigeria imebatilisha amri yake ya awali ya kupiga marufuku maandamano ya kutaka wasichana waliotekwa nyara Nigeria kuachiliwa. Wasic… Read More
Umeisikia hii kuhusiana na Wanariadha wanaokunywa maziwa ya Matiti !! Akina mama wakiwanyonyesha Matiti watoto wao Wanariadha wanaume wamekiri kuanza kunywa maziwa ya Matiti kama njia ya kusisimua misuli yao badala ya kutu… Read More
Utata kuhusu 'White Widow' Kenya Uchunguzi unaohusisha vitengo vitatu vya serikali ya Kenya umeanzishwa kufuatia madai ya mtoro wa ugaidi anayesakwa duniani Samantha Lewthwaite, maaruf… Read More
Watoto wenye wazazi 3 kuzaliwa karibuni Inawezekana kuzalisha mtoto wazazi watatu Wanasayansi nchini Uingereza wanasema kuwa inawezekana kwa wao kuwazalisha watoto kutoka kwa wazazi watatu kat… Read More
Baba ageuka adui wa wanawe Afrika Kusini Baba ya watoto hao anasema kuwa alikuwa anawalinda wanawe kwa kuwafunga kwa minyororo Mwanamume mmoja wa Afrika Kusini aliyewafungia wanawe kwa minyororo… Read More
0 comments:
Post a Comment