Aina mpya ya dinosaria imetambuliwa
kufuatia kupatikana kwa mifupa nchini
Tanzania. Mabaki hayo ya dinosaria
yaliyopewa jina la - Rukwatitan Bisepultus -
yalipatikana katika korongo moja kwenye
eneo la Rukwa, kusini magharibi mwa nchi
hiyo. Inadhaniwa mnyama huyo aliyekuwa
akiishi kwa kula majani, aliishi karibu miaka
mia moja iliyopita, na alikuwa na uzito sawa
na tembo kadhaa na alikuwa na miguu ya
mbele yenye urefu wa mita mbili. Mnyama
huyo ni aina ya titanosaurus -- ambao ni
wakubwa, na wanaokula nyasi. Mabaki ya
wanyama aina hiyo mpaka sasa yamepatikana
katika maeneo ya Amerika ya Kusini, bara
ambalo lilijitenga kutoka Afrika katika kipindi
cha Cretaceous, (kipindi ambacho miamba ya
chaki iliumbika) takriban miaka milioni mia
moja na arobaini iliyopita.
Tuesday, 9 September 2014
MIFUPA YA DINOSARIA "GODZILLA" YAPATIKANA TANZANIA
Related Posts:
USITUMIE DAWA AINA YA DICLOPA AU DICLOFENAC. Dawa za Diclopa na Diclofenac zadaiwa kuwa ni hatari kwa matumizi ya binadamu. Imegundulika Vidonge hivyo husababisha kansa ya Ini na Ubongo,Ugonjwa wa moyo, Kiharusi, Vidonda vya Tumbo au kifo cha ghafla. Kwaiyo ndugu zangu… Read More
5 essential criteria for a cheap phone package ADVERTISEMENT Does your phone bill significantly have an impact on your monthly expenses? Don’t panic, there are other solutions without breaking a bank. As everyone wants to have a low-cost p… Read More
Kiumbe cha ajabu kutoka sayari nyingine chaonekana duniani,Umbo kama la binadamu. Maajabu ya dunia, tazama picha za kiumbe kinachoaminika kutoka sayari nyingine. Kiumbe hicho kina urefu wa nchi sita(6) na kina umbo kama la binadamu. Kitazame hapa. Ni BantuTZ pekee kilic… Read More
Majiji 10 bora nchini Marekani. ADVERTISEMENT From this Top 10, you will be unveiled of the U.S. cities from the brightest to the most historic in the States. If you plan a trip there, never miss these cities. New York City Among the must-sees in t… Read More
MAAJABU YA DUNIA:BINADAMU AGEUKA MTI Ni miujiza ya Mungu. Mitihani ipo kila kona kwa aina mbalimbali lakini hatutakiwi kukufuru. Tunapaswa kukubali matokeo na kuomba nusura kwa Muumba, kwani kazi yake haina makosa. Binadamu ageuka mti! Unaweza kudhani ni simuli… Read More
0 comments:
Post a Comment