Mabingwa wa Afrika, Nigeria huenda
wameepuka kufungiwa kimataifa kuhusiana
na mzozo wa uongozi katika chama cha soka
cha nchi hiyo. Mzozo huo sasa
umesuluhishwa, baada ya Chris Giwa
kuondoa madai kuwa yeye ndio rais wa
shirikisho la sola la Nigeria NFF. Fifa iliipa
Nigeria hadi Jumatatu kupata muafaka. Iwapo
Nigeria ingefungiwa, ingekosa mechi ya
kufuzu Kombe la Mataifa siku ya Jumatato
nchini Afrika Kusini. Shirikisho la soka la
Afrika, Caf lilisema wiki iliyopita kuwa Super
Eagles wataondolewa katika michuano hiyo
iwapo watashindwa kucheza maechi yao.
Monday, 8 September 2014
MZOZO WA NIGERIA NA FIFA WAISHA
Related Posts:
Uchambuzi wa mechi kali za leo Ligi ya Mabingwa barani Ulaya na Mr.CHOI (KWA TAARIFA YAKO). DORTMUND vs JUVENTUS 1 - 2 Tukianzia pale Westfa… Read More
ARSENE WENGER NA VIVULI VYA KINA PIRES,HENRY,LJUMBERG,EDU. SABABU TANO KWANINI ARSENAL ANAWEZA KUPITA MBELE YA MONACO NA SABABU TANO KWANINI MONACO ANAWEZA KUPITA MBELE YA ARSENAL. Mwaka 2014 tajiri namba moja kwa sasa duniani bwana Bill Gates kwenye Andiko lake la Can Asians Miracle happen in Africa? Alizungumzia kitu kimoja cha muhimu sana .Nchi za Africa kutembea kwa kutumia vivuli vya nchi za Asian… Read More
Uchambuzi Wa mechi za leo Ligi Kuu Uingereza Na Mr.CHOI (KWA TAARIFA YAKO).ARSENAL vs W.HAM Baada ya kutinga nusu fainal ya FA na kuwa nafasi ya tatu katika ligi nyuma ya pointi sita dhidi ya Man City walio nafasi ya pili. Arsenal watawakabili vijana wa Big Sam London derby … Read More
Uchambuzi wa Mechi Kali za Leo Ligi Kuu Uingereza na Hispania na Mr.CHOI (KWA TAARIFA YAKO).CHELSEA vs SOUTHAMPTON Tukianzia pale darajani baada ya matokeo City hivi sasa Chelsea watahitaji kushinda mchezo huu pamoja na ule wa kiporo dhidi ya Leicester ili kuweka gepu la pointi 11 na Man City walio nafa… Read More
Uchambuzi wa mechi kali za Leo LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA Na Mr.CHOI (KWA TAARIFA YAKO) AS MONACO vs ARSENAL (3-1) Baada ya Chelsea,Fc Basel,S.Donesk na Shalke 04 kuondoshwa ktk 16 bora leo na kesho tutashuhudia timu nyingine nne zitazo fungasha vilago. Waingereza pamoja na mashabiki wengi… Read More
0 comments:
Post a Comment