Captain John Bocco ameanza mazoezi kidogo
kidogo katika Gym ya kisasa ya Azam FC hapa
Chamazi - Azam Complex, Captain anaendelea
vizuri na jeraha lake alilolipata Kigali Rwanda
akiitumikia timu yake ya Azam FC. Hii ni leo
asbuhi!
Tuesday, 9 September 2014
John Bocco aanza mazoezi
Related Posts:
Benitez amwaga Chozi alipokuwa akitambulishwa Real Madrid.KOCHA Rafa Benitez alijikuta anamwaga machozi wakati anatimiza ndoto yake ya maisha alipotambulishwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid. Mzaliwa huyo wa Madrid na kocha wa zamani wa Liverpool alitoa moja ya hotuba za awali il… Read More
Diego Costa akanusha taarifa za kutaka kuondoka Chelsea. Mshambuliaji Diego Costa ametupilia mbali taarifa kuwa anataka kuondoka Chelsea na kurejea Spain. Mchezaji huyo, 26, alihamia Chelsea akitokea Atletico Madrid mwaka jana kwa pauni milioni 32.Akizungumza na Chelsea T… Read More
Jack Wilshare ashtakiwa na FA. Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere ameshtakiwa na chama cha soka cha England, FA kufuatia tukio la kwenye msafara wa basi wakati wa kusherekea ushindi wa Kombe la FA. Taarifa ya FA imesema: "Inatuhumiwa kuwa tabia yake ya k… Read More
Haya ndiyo Magoli 10 bora ya msimu huu ligi Kuu Uingereza. 1. Charlie Adam 2. Juan Mata 3. Jermain Defoe 4. Bobby Zamora 5. Angel di Maria 6. Phil Jagielka 7. Philippe Coutinh 8.Graziano Pelle 9. Jack Wilshere 10. Cesc Fabregas… Read More
Tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Dau la Manchester United la pauni milioni 110 kwa Real Madrid kumtaka Gareth Bale, 25 na beki Rafael Varane, 22 limekataliwa na klabu hiyo ya La Liga (Daily Express), Real Madrid wana uhakika wa kumsajili kwa pauni m… Read More
0 comments:
Post a Comment