Mzoga wa samaki aina ya nyangumi
Umepatikana katika pwani ya Bahari ya Hindi
Mkoani Mtwara na kisha kuvutwa
Kuelekea majini na wavuvi wa Kata ya
Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa
futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi
ya tani 30.
Tuesday, 9 September 2014
Nyangumi apatikana Mtwara.
Related Posts:
Ajali mbaya ya ndege na Parachuti NI AJALI MBAYA YA HUYU JAMAA NA NDEGE ANGANI Hili imetokea Florida Marekani ambapo mtu mmoja alikua anaruka akiwa na Parachuti lakini akakutana na ndege hii ndogo ambayo baada ya kumgonga walianguka chini… Read More
Mambo 9 yanayomhusu Rais maskini kuliko wote duniani.Ni kawaida kukuta maisha wanayoishi Wanasiasa ni tofauti na wapiga kura wao lakini sio hivyo kwa Rais wa Uruguay ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya kipato chake kusaidia watu masikini. Um… Read More
Unakijua Chumba cha maajabu kilichopo juu ya dunia ?. Pichani ni mafundi wakiendelea kumalizia ujenzi wa chumba hicho. Sayansi ya Teknolojia ikiwa inaendelea kushika kasi siku hadi siku, chumba hiki maalum kilichojengwa juu ya safu za milima ya Alpine iliyopo Ufaransa … Read More
8 Most Beautiful Island Countries in the World. There are a few gorgeous island countries in the world that are definitely worth vising. Summer is fast approaching and that means it’s time to start planning your vacation. While there are many fascinating countries i… Read More
Mkenya atengeneza ndege:anataka kuipaisha. Nchini Kenya kuna Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Naivasha ambae katengeneza ‘Ndege’ yake ambayo toka ameanza kuiunda alisema lazima ipae huku akiwa katumia vifaa mbalimbali kutoka kwenye Bajaji kuiunda. Mzigo ulipokamilika… Read More
0 comments:
Post a Comment