Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini
Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya
kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa
bahati mbaya
Akitoa uamuzi wake jaji Thokozile Masipaal
alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua
Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi
kupitia kwa mlango wake wa choo akiw akatika
hali ua mshtuko akidhani kuwa jambazo
alikuwa amevamia nyumba yake.
Alisema kuwa upande wa mashitaka
umeshindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alinuia
kumuua Steenkamp nw akutekeleza mauaji
hayo kwa kusudi.
Pia alipatikana na hatia ya kosa la kutumia
silaha yake visivyo alipokwenda mgahawani
Friday, 12 September 2014
Oscar hatiani kwa kuua bila kukusudia
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 21 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
Hatimaye Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully, Ebby Sykes Diamond ambaye wakati msiba huo unatokea alikuwa Zanzibar na mpenzi wake Zari, ameelezea sababu zilizomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi. “Watu waliniona niko zanzibar lakini walikuwa hawajui nimeenda kufanya nini,… Read More
Diamond Platnumz aongea maneno mazito kuhusiana na sakata la Mauaji ya Albino. Kupitia Ukurasa wake wa FACEBOOK Diamond Plutnumz amepost picha hiyo hapo juu na maneno haya hapa chini. "Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maa… Read More
Msanii Mezzy B afariki dunia Taarifa tulizozipata BantuTz kutoka Dodoma hivi punde zinasema kuwa Mwanamuziki Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard.Alikuwa anaumwa sa… Read More
Davido asema ana maadui wengi ambao wanataka kumshusha kutoka kwenye mafanikio aliyo nayo Kupitia Twitter Davido ameandika “I got enemies, I got a lotta enemies Got a lotta people tryna drain me of my energy.” Hii si mara ya kwanza kwa Davido kulalamika kupitia Twitter juu ya watu ambao hawamtakii kheri, au a… Read More
0 comments:
Post a Comment