Facebook

Friday 5 September 2014

KESI YA KENYATTA YAPIGWA KALENDA

Waendesha mashtaka katika Mahakama ya
Kimataifa ya ICC iliyopo The Hague
wameomba kesi ya Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta kuahirishwa tena. Bwana Kenyatta
anashtakiwa kwa makosa dhidi ya ubinaadam,
lakini upande wa mashtaka umesema hakuna
ushahidi wa kutosha kuendelea na kesi kwa
sababu serikali ya Kenya inashindwa kutoa
ushirikiano. Mashtaka hayo yanahusiana na
ghasia za baada ya uchaguzi mwaka 2007,
ambapo watu zaidi ya 1,200 waliuawa na
karibu watu nusu milioni kkimbia makazi
yao.

0 comments:

Post a Comment