Harry Ashby ni mwanaume wa kwanza
nchini Birmingham kupata ruhusa ya
kupumzika nyumbani baada ya
kusumbuliwa na homa mithili ya
mwanamke mja mzito.
Amekuwa akipatwa na homa za vipindi hasa
nyakati za asubuhi baada ya mchumba wake
aitwae Charlotte kuwa mjamzito, mtandao wa
Itv news umeeleza.
Habari zinasema mwanaume huyo mwenye
miaka 29 anayefanya kazi ya ulinzi ,amesema
ameongezeka uzito na tumbo limekua mithili
ya aliye mjamzito na kudai kuwa anasumbuliwa
na maumivu ya mgongo na cha ajabu amekuwa
na hamu ya baadhi ya vyakula.
Harry ameripotiwa kuwa na dalili za kuwa mja
mzito miezi miwili baada ya kubaini kuwa
mchumba wake ni mjamzito.
Harry amekuwa akipatiwa dawa na
inasemekana anaweza kudai mafao wakati
akiwa katika mapumziko hayo.
Friday, 12 September 2014
Mwanaume apata dalili za ujauzito Uingereza.
Related Posts:
Wachunguzi waanza kazi Ukraine,kuhsiana na ndege iliyoanguka. Treni yenye mabaki ya waathiriwa wa mkasa wa ndege ya Malysia nchini Ukraine Makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo ilipoanguka ndege ya Malaysia … Read More
Rais wa Nigeria amekutana na wazazi wa wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram. Hatimaye Rais Goodluck akutana na wazazi Baadhi ya wazazi ambao watoto wao walitekwa nyara Rais wa … Read More
Wapalestina wengi wazidi kuawa Gaza Mmoja kati ya majeruhi wa mapigano eneo la Gaza Kumetokea vifo vingi katika eneo la Gaza kwa siku moja tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina mapema mwezi huu. Wapalestina zaidi ya sitini kati y… Read More
Mapigano yaendelea Sudan Kusini Umoja wa mataifa umesema kumekuwepo kwa siku mbili za mapigano katika mji wa Nasir, Sudani ya Kusini. Msemaji wa Umoja wa matifa amesema vikosi vya waasi … Read More
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya pamoja na ile ya msemaji wa jeshi hilo imevamiwa na wanaharakati ambao wanaonekana kupinga ufisadi. "Nyote ambao mm… Read More
0 comments:
Post a Comment