Facebook

Monday 22 September 2014

Mourinho amponda Lampard.


Mouringo akimuongelea Lampard baada ya kufunga
bao lililopelekea matokeo dhidi ya City kua
1-1.

'Alipoamua kujiunga na wapinzani wetu
tunaochuana nao kuwania ubingwa, hadithi
za mapenzi zikaisha. Amefanya kazi yake
(kufunga) kama mwana taaluma.
Chelsea hatukumpa mkataba na yeye
akajiunga na klabu ya USA, kwa kuwa ligi hiyo kwa
sasa ipo mapumziko. Lampard akaamua
kurudi EPL kwa mkopo:

Mourinho anadai
angeenda timu yoyote lakini si Arsenal, Man
United, Man City ama Liverpool kwani hao
ndio anaogombea nao Ubingwa.

Na kwa kuwa kafanya hivyo basi mambo ya kusema ana
mapenzi na Chelsea hakuna.

0 comments:

Post a Comment