Manchester United imetangaza kuporomoka kwa
faida ya kila mwaka wa fedha katika mwaka
ambao David Moyes alikuwa meneja. Klabu hiyo
ya Ligi Kuu ya England imesema kipato halisi
kimeporomoka kwa asilimia 84 na kufikia
takriban dola milioni 45. Klabu hiyo imesema
inatarajia mapato yake ya mwaka 2015 kushuka
kutokana na klabu hiyo kushindwa kufuzu
kucheza Klabu Bingwa Ulaya kwa mara ya kwanza
tangu msimu wa mwaka 1994-95. Klabu hiyo
imesema Moyes na wasaidizi wake walilipwa zaidi
ya dola milioni 8 kama fidia kufuatia kufukuzwa
kazi mwezi Aprili, chini ya mwaka mmoja tangu
apewe kazi hiyo.
Wednesday, 10 September 2014
FAIDA YA MAN UTD 'KUTETEREKA'
Related Posts:
Pogba kuweka rekodi ya kipekee.Paul Pogba ana miaka 22, ni mmoja kati ya wachezaji wenyewe umri mdogo sana wanaotarajiwa kucheza kwenye fainali ya UEFA June 6.Paul Pogba akifanikiwa kushinda ubingwa wa UEFA atakua mmoja kati ya wachezaji waliowai kushinda … Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumanne,Juni 2. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
Kustaafu kwa Ferdinand kwamfanya Buffon kuweka rekodi mpya.Kustaafu kwa Rio Ferdinand kunamuacha Gigi Buffon kama mchezaji pekee ambaye bado anacheza soka la ushindani katika kundi la wachezaji wote walioshiriki katika kombe la dunia mwaka 1998 … Read More
Cristiano Ronaldo aponda raha ufukweni baada ya kumaliza majukumu yake Real Madrid. Akiwa amecheza mechi 54 na kufanikiwa kufunga mabao 61 msimu uliomalizika, mchezaji bora wa duniani Cristiano Ronaldo ameamua kutumia muda wake kujiachia katika ufukwe wa St Tropez, Ufaransa. Katika pichaz Mshambuliaji hu… Read More
Azimia kwa wiki mbili alipozinduka aulizia fainali ya Barcelona na Juventus. Azinduka baada ya wiki 2 na kitu cha kwanza alichoulizia kinahusu Barca vs Juventus Fainali ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya ambayo itafanyika mwishoni mwa wiki hii siku ya Jumamosi, kati ya FC… Read More
0 comments:
Post a Comment