Facebook

Tuesday, 2 September 2014

Cleverley ajiunga Aston Villa kwa mkopo.


Aston Villa wamemsajili kiungo wa
Manchester United Tom Cleverley kwa mkopo
hadi mwisho wa msimu. Hata hivyo,
inafahamika kwamba United wana kigezo cha
kumchukua tena mwezi Januari, au Villa
ikamilishe uhamisho wake moja kwa moja
wakati huo. Mkataba wa Cleverley
unamalizika mwaka 2015. Mkataba huo
ulifikiwa katika siku ya mwisho ya dirisha la
usajili siku ya Jumatatu, na alikuwa akisubiri
kuidhinishwa na bodi ya Ligi Kuu ya England.

Related Posts:

  • Golikipa Peter Cech mbioni Arsenal.Wakati Arsene Wenger akikanusha kutaka kumsajili Petr Cech, wakala wa kipa huyo, Viktor Kolar amethibitisha kwamba Arsenal ni miongoni mwa klabu tatu ambazo mlinda mlango huyo wa Chelsea angependa kujiunga. Kolar amesema klab… Read More
  • De Gea mbioni kusaini mkataba mpya Man United.Tetesi zinazovuma hivi sasa ni kwamba Manchester united inategemea kumpa David De Gea mkataba mpya kwa muda miaka 4 ambao unathamini ya £250,000 kwa wiki muda wowote kuanzia hivi sasa. Leo hii amehudhuria katika hafla ya… Read More
  • Schneiderlin mbioni kuondoka Southampton kwa dau la Paundi Milioni 25.KLABU ya Southampton inatarajia kutaka kitita cha paundi milioni 25 kwa ajili ya kiungo Morgan Schneiderlin mbaye anawindwa na klabu za Arsenal na Tottenham Hotspurs. Klabu hizo zinazotoka kaskazini mwa jiji la London, zote z… Read More
  • Xavi kuwaaga mashabiki wa Barcelona Alhamisi.KIUNGO mahiri wa kimataifa wa Hispania, Xavi anatarajia kutangaza uamuzi wake wa kuondoka Barcelona Alhamisi hii wakati akijiandaa kuhamia katika klabu ya Al Sadd ya Qatar. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 35 amekuwa akiitumik… Read More
  • SAFARI YA INZAGHI YANUKIA AC MILAN.VYOMBO vya habari nchini Italia, vimeripoti kuwa Silvio Berlusconi amethibitisha kuwa atamtimua meneja wa AC Milan Filippo Inzaghi mwishoni mwa msimu baada ya matokeo yasiyoridhisha. Berlusconi ambaye ndiye mmiliki wa timu hi… Read More

0 comments:

Post a Comment