Aston Villa wamemsajili kiungo wa
Manchester United Tom Cleverley kwa mkopo
hadi mwisho wa msimu. Hata hivyo,
inafahamika kwamba United wana kigezo cha
kumchukua tena mwezi Januari, au Villa
ikamilishe uhamisho wake moja kwa moja
wakati huo. Mkataba wa Cleverley
unamalizika mwaka 2015. Mkataba huo
ulifikiwa katika siku ya mwisho ya dirisha la
usajili siku ya Jumatatu, na alikuwa akisubiri
kuidhinishwa na bodi ya Ligi Kuu ya England.
Tuesday, 2 September 2014
Cleverley ajiunga Aston Villa kwa mkopo.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 19BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 14 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa … Read More
TETESI ZA SOKA ULAYA- DIRISHA DOGO LA USAJILI Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema yuko tayari kutoa pauni milioni 480 kumnunua mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi, 27 (Sun), Arsenal wameanza mazungumzo na Borussia Dortmund ya mkataba wa paun… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 18 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
JOHN TERRY KUONGEZWA MKATABA CHELSEA FC Habari kutoka ktk www1.skysports.com zinadai kuwa beki mahiri wa kati wa clabu ya CHELSEA JOHN TERRY anamatumaini makubwa ya kuendelea kubaki darajani hapo msimu ujao. TERRY akihojiwa na kituo cha skysports alidai kuwa,"… Read More
0 comments:
Post a Comment