Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya kwenda Lugalo Golf course (Avacado)Na hii siyo mara yakwanza mabango kuanguka kunasiku pale katika ya seilender bridge na Kinondoni lilianguka uzuri kulikuwa katika mikoko
Monday, 19 May 2014
Bango la Matangazo Barabarani Laangukia Gari Round About Kawe
Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya kwenda Lugalo Golf course (Avacado)Na hii siyo mara yakwanza mabango kuanguka kunasiku pale katika ya seilender bridge na Kinondoni lilianguka uzuri kulikuwa katika mikoko
Related Posts:
Tanzania yakubali kipigo michuano ya COSAFA. TANZANIA imeaga mashindano ya Kombe la COSAFA baada ya kufungwa manao 2-0 naMadagascar katika mchezo wa Kundi B jioni ya leo Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace mjini hapa. Huo unakuwa mchezo wa pili mfululizo timu h… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Alhamis,Mei 21. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumatano,Mei 20. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kup… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-Soma kilichoandikwa katika kurasa za Magazeti mbalimbali ya leo Jumamosi,Mei 16. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata hab… Read More
Hali ni tete Chuo Kikuu Dar Es Salaam,Masomo yahairishwa,Wanafunzi waandamana wakidai fedha za kujikimu.Hapo jana BantuTZ.com tuliripoti kuhusiana na mgomo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu hapo jama usiku kwa wale wanaoishi 'Mabibo Hostel'. Lakini muda huu mgomo huo umehamia katika eneo la Chuo Kikuu Cha DSM. Matamko ya viongozi wa S… Read More
0 comments:
Post a Comment