Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya kwenda Lugalo Golf course (Avacado)Na hii siyo mara yakwanza mabango kuanguka kunasiku pale katika ya seilender bridge na Kinondoni lilianguka uzuri kulikuwa katika mikoko
Monday, 19 May 2014
Bango la Matangazo Barabarani Laangukia Gari Round About Kawe
Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya kwenda Lugalo Golf course (Avacado)Na hii siyo mara yakwanza mabango kuanguka kunasiku pale katika ya seilender bridge na Kinondoni lilianguka uzuri kulikuwa katika mikoko
Related Posts:
Watu 6 wamefariki kwa kupigwa na radi Songea-Ruvuma Watu 6 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya kupigwa na radi katika kijiji cha Madaba, wilaya ya Songea mkoani Ruvuma usiku wa kuamkia leo. Chanzo: Radio1 Sterio… Read More
SERIKALI YAHAMIA DODOMA, PINDA NA KAGASHEKI WATOLEANA UVIVUHali sasa ni dhahiri si shwari tena mjini Dodoma.Pilikapilika za magari ya vigogo pamoja na ndege ndivyo vinavyotawala kwa sasa katika mabarabara na uwanja wa ndege! Katika hali ambayo si ya kawaida, vigogo wa ngazi za juu wa… Read More
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza abakwa na kujeruhiwa vibaya Mwanza. Mwanafunzi wa kidato cha kwanza A katika shule ya sekondari Ntunduru wilayani Sengerema mkoani Mwanza (jina limehifadhiwa, 14), amejeruhiwa vibaya sehemu za siri na shingoni kutokana na kukabwa shingoni wakati akibakwa… Read More
KIJANA SANDE MWENYE KILO 250, AMEFARIKI DUNIA! Kijana Sande Mrema aliyekuwa na tatizo la kuwa na kilo nyingi zilizokuwa zikifikia 250 na umri wa miaka 25 aliyekuwa eneo la karakata katika moja ya Hoteli alipokuwa akiishi wakati akisubiri kupatikana kwa Ndege a… Read More
Apson awatumia kina Bashe kumchafua Membe na Jack Gotham.Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo. 1. Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo mare… Read More
0 comments:
Post a Comment