Friday, 16 May 2014
Jack Wolper:Sijawahi Lia eti Nimeachwa Nikamwaga Chozi Sababu ya Mwanaume
STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper ambaye ana muonekano wa ‘kigumu’, alisema siku zote anaamini katika kupambana hivyo hawezi kumlilia mwanaume hata iweje.
“Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na mwanaume, akili yangu yote inaamini katika kutafuta maisha hivyo siwezi kujirahisisha nikamwaga machozi kwa ishu za mapenzi,” alisema Wolper.
Related Posts:
Hizi hapa Picha za Red Carpert MTV MAMA jinsi Diamond na Wema walivyo funika
Diamond na Wema wakipiga picha za Red Carpet katika tuzo za MTV jana usiku huu mjini Durban South Afrika, wadau wamempongeza
designer wao kwa mavazi mazuri yaliyo match vizuri, kuanzia nguo hadi
saa na bangili za mkono.
… Read More
Halima Kimwana "Dada'ke" Diamond achanwa live..fiatilia hapa.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu v… Read More
Ndoa ya Flora Mbasha Chali.Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha.
BAADA ya
kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki
mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo
chali kwa maana ya… Read More
Daladala ya Kenya ‘Matatu’ Ilivyopewa Shavu na Lupita Nyong’o
Nyumbani ni nyumbani na mkataa kwao ni mtumwa. Muigizaji wa Kenya
Lupita Nyong’o ambaye anaiwakilisha vizuri nchi hiyo kimataifa ameonesha
upendo kwa dalada ya Kenya maarufu kama Matatu iliyoandikwa jina lake
kwa he… Read More
Mapenzi ya Jennifer Lopez na Casper Smart Yamekwisha
Jennifer Lopez mwenye umri wa miaka 44 hivi sasa ameachana na Casper Smart mwenye umri wa miaka 27.
TMZ imeripoti kuwa kulikuwa na majanga ya kutoelewa kati yao na
chanzo kinasema walitengeana tangu miezi miwi… Read More

0 comments:
Post a Comment