Thursday, 15 May 2014
Mashabiki wamchana Nay wa Mitego Baada ya Kudai Kuwa ndiye Rapper Bora Zaidi Tanzania
Nay wa Mitego anaamini kuwa ukimtoa Profesa Jay wa zamani (anadai huyu wa sasa kachoka) yeye ndiye rapper bora zaidi kuliko mwingine Tanzania. Lakini mashabiki wanaikubali kauli hiyo? Hell NO!!
Octavian Kiwale
Unatafuta kick tu wewe, nadhubutu kukuambia ukizungumzia HIP HOP hata killer tu hujamfikia ndo ujiringanishe na Prof?//////// FID Q ndo usimwongelee kabisa
Winnie Glory
We ney fid Q na joe makin huwafiki hat robo, mbuz tu wew ndo man unalelewa na siwema
TheBoy Junior
Na je nakula ujana ipo wapi hip hop au bongo fleva na akisema ye ndo anaongea ukweli nash mc tumuweke wapi sasa? Asitafte kiki wasanii wa hip hop wengi na wanafanya vile hip hop inapaswa kuwa. Huyu hana jipya tena tafta Scandal utoke kama diamond na si kwakusema we ndo hip hop hata hip hop yenyewe huijui….
Agapito Petro
Mwana fa,ngwair(r.i.p.),kala jere100, ay n.k. Huwafikii hata kiduchu
Laurent Mwamlima
Ney umeishaaaa… kajititie tu Hata MPOKI MJUNI hata mzee MGARI humfikii kwa hip hop
Vitalis Kaizer
Hata 50 bora ya hip hop sidhani kama umo bado sanaaaaaaa kuropoka sio hip hop jipangee!!
Dotto Kondo
Huyu jamaa bhana,sometimes nahc huwa akili zinamruka
Ze Jap Suprah
Chiz wewe mwambie aandike kip sijasikia hafu tuone
Rashid Mtoi
Dogo janja mwenyewe humfikii hata robo
Related Posts:
Wema ashambuliwa kwa matusi kwenye mtandao wa jamii.... Ni baada ya kupost picha akiwa na rafiki zake aunt Ezekiel na Rommy Jons club huku Rommy Jons akiwa amevaa vazi la kanzu ambalo wengi waliotoa maoni yao kua hilo vazi (kanzu) si mahali pake hapo na analinajisi … Read More
Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga Mchezaji mmoja wa timu ya ligi ya soka ya Marekani, National Footbal League ,Mic… Read More
Mkalimani aliyekashifiwa wa mazishi ya Mandela aajiriwa Mkalimani aliyekashifiwa Thamsanga Jantjie Je unamkumbuka mkalimani huyu aliyeuduwaza ulimwengu kwa utafsiri wake wa ishara wakati wa mazishi ya hayati mzee Nelson Mandela mwaka uliopita ? Thamsanqa Jantjie aliy… Read More
Obama ampongeza mchezaji wa American Football aliejitangaza hadharani kuwa shoga Mchezaji mmoja wa timu ya ligi ya American Football (National Footbal League), Michael Sam amekuwa mchezaji wa kwanza wa mpira wa miguu kutangaza kuwa anajihusisha na tabia za ushog… Read More
Unakijua walichokisema Lulu na Dr.Cheni baada ya Dr.Cheni kuzushiwa kifo.....fuatilia hapa... Mwigizaji na muongozaji wa bongomovie Dr. Cheni ambaye alianza kupata umaarufu kwenye fani ya uigizaji na thamthilia za kundi la Kaole na sasa akiwa anafanya movie zake, 12 May alizushiwa kifo ikiwa imeunganishw… Read More
0 comments:
Post a Comment