Facebook

Thursday 15 May 2014

Mashabiki wamchana Nay wa Mitego Baada ya Kudai Kuwa ndiye Rapper Bora Zaidi Tanzania


Nay wa Mitego anaamini kuwa ukimtoa Profesa Jay wa zamani (anadai huyu wa sasa kachoka) yeye ndiye rapper bora zaidi kuliko mwingine Tanzania. Lakini mashabiki wanaikubali kauli hiyo? Hell NO!!


Octavian Kiwale


Unatafuta kick tu wewe, nadhubutu kukuambia ukizungumzia HIP HOP hata killer tu hujamfikia ndo ujiringanishe na Prof?//////// FID Q ndo usimwongelee kabisa


Winnie Glory 

We ney fid Q na joe makin huwafiki hat robo, mbuz tu wew ndo man unalelewa na siwema

TheBoy Junior


Na je nakula ujana ipo wapi hip hop au bongo fleva na akisema ye ndo anaongea ukweli nash mc tumuweke wapi sasa? Asitafte kiki wasanii wa hip hop wengi na wanafanya vile hip hop inapaswa kuwa. Huyu hana jipya tena tafta Scandal utoke kama diamond na si kwakusema we ndo hip hop hata hip hop yenyewe huijui….


Agapito Petro


Mwana fa,ngwair(r.i.p.),kala jere100, ay n.k. Huwafikii hata kiduchu


Laurent Mwamlima

Ney umeishaaaa… kajititie tu Hata MPOKI MJUNI hata mzee MGARI humfikii kwa hip hop

Vitalis Kaizer

Hata 50 bora ya hip hop sidhani kama umo bado sanaaaaaaa kuropoka sio hip hop jipangee!!

Dotto Kondo 

Huyu jamaa bhana,sometimes nahc huwa akili zinamruka

Ze Jap Suprah 

Chiz wewe mwambie aandike kip sijasikia hafu tuone

Rashid Mtoi 

Dogo janja mwenyewe humfikii hata robo

0 comments:

Post a Comment