Mmiliki wa klabu ya Monaco Dmitry Rybolovlev
yupo katika wakati wa kiuchumi kutokana na
kuwa na kesi ya talaka - mkewe akidai kiasi cha
£2.7billion - huku akidaiwa kodi ya £41m -
inaaminika haya matatizo yaliyopelekea kuamua
kuuza wachezaji wake wakubwa James Rodriguez
na Radamel Falcao.
Friday, 5 September 2014
Sababu iliyopelekea kuuzwa kwa James Rodriguez na Falacao hii hapa.
Related Posts:
Mtu mweusi aliyebaguliwa na mashabiki wa Chelsea katika treni ataka haki itendeke Mtu aliyezuiliwa kuingia Paris Metro train na mashabiki wa timu ya mpira ya Chelsea kwa sababu ya ubaguzi wa rangi ametaka waadhibiwe. Mtu huyo mwenye miaka 33 anayeitwa Souleymane S aliambia gazeti la Le Parisien: “Hawa wat… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 20 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
DAVID LUIZ AWEKA REKODI YA KUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUFUTA 'SPRAY' YA MWAMUZI Beki David Luiz wa PSG jana alitoa kali ya mwaka katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kufuta spray iliyopuliziwa na mwamuzi. Luiz alifanya hivyo wakati mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akitaka kupiga mkwaju … Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 19BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
REAL MADRID ‘YAFANYA KWELI’ UJERUMANI Mwanasoka bora wa FIFA 2014 Cristiano Ronaldo hatimaye leo amepata bao lake la Kwanza baada ya ukame katika takriban michezo mitatu aliyocheza tangu amalize kutumikia adhabu yake. Ronaldo amefunga bao la Kwanza dakika … Read More
0 comments:
Post a Comment