Ajali kubwa ya moto imetokea jana katika Chuo kikuu cha Dodoma.katika kitivo cha Humanities karibu na hosteli za Wasichana.
Wanafunzi wanaoishi katika hosteli hizo waliona moto mkubwa umewaka kutoka katika vichaka vilivyo karibu na Hostel zao lakini Chanzo cha moto huo hadi hivi sasa hakijajulikana.
Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
Related Posts:
Karibu ACT-TANZANIA, wewe ndio mbadala wa CHADEMA na CCM
Chama kilichovunja rekodi kwa kupata usajili wa kudumu miezi michache
mara baada ya usajili wa muda; ACT-TANZANIA leo ndio kimekabidhiwa cheti
chake cha usajili wa kudumu rasmi na masajili wa vyama vya … Read More
Mvutano mkali unaendelea kati ya Serikali na Bunge kisa Vigogo wa Maliasili na Utalii
Sasa ni dhahiri kwamba kuna msuguano wa
wazi kati ya mihimili miwili ya dola, Bunge na Serikali, kuhusiana na
hatua ya Serikali kuchelewa kutekeleza maazimio ya Bunge.Msuguano huo umeshika kasi wiki hii
baad… Read More
Dr.Kigwangala autolea udenda Urais 2015
MBUNGE wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora
kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama
anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha
mapinduzi CCM.
Akijibu maswali ya waa… Read More
Mabinti Wajiuza Shil 2000 Tu Bustanini mkoani Tanga......Hi ni laana......
BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga
kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu,
utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za
usiku kweny… Read More
Kinana Amtaka Maalim Seif Ajiuzulu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi
(CUF), Seif Sharif Hamad, kama kweli hataki Muungano wa serikali mbili,
amuandikie barua Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein na kujiuzulu wadhifa
w… Read More
0 comments:
Post a Comment