|
Mambo vipi wadau, naamini tuko salama sote. Leo ningependa kushare nanyi
kitu ambacho kimezoeleka sana kuwanacho kwenye mikono yetu lakini kuna
kipindi ukikihitaji kile kilicho bora lazima utaikumbuka hii POST.
Kwa wale wanaohitaji ili mradi simu basi wao hawata ona shida sana ila kwa wale ambaoo wao vitu fake ni shida kwako basii post inawahusu sana. leo tunaelekezana utofauti mkubwa uliopo katika Samsung Galaxy S3 fake na ile original. Ama kweli kwa sasa Samsung galaxy S3 and S4 zimeshika sana soko. Kutokana na samsung kuwa nyingi na kukubalika sana katika soko la biashara sasa tunakuta na samsung fake zipo sokoni. Ni jinsi gani unaweza kutambua Samsung Galaxy S3 au S4 yako ni fake au original? Hili ndio swali linalonifanya muda huu kuingia hapa na kuandika mada hii, Sio jamboo rahisi sana kutambua kuwa samsung yako ni fake kwa kuwa fake S3 inafanana sana na original. Sasa wacha tuelezane kuwa original inavitu gani na fake ina utofauti gani Labda kwa udadavuzi wa kina ili niweke sawa hapa kwa kile nilichokiandika hapo juu kwenye table ya comparison kati yya original na fake 1. Ile fake Galaxy S3 ni heavier 2. Fake ni less compact na dimension zake ni tofauti na Original 3. Camera ya ile Fake isnt as good 4. Pia Galaxy fake inakuwa running katika medocre ya version ya Android 4.0 5. Pia technologia iliyotumika katika kutengeneza fake galaxy kwa kioo chake sio ya AMOLED au Corning Gorilla Glass 6. Pia Galaxy fake inakuwa hairuhusu geo-tagging, face recognition, smile detection, optical stabilisation images na Video capturing in HD 7. Pia performance ya Processor inayotumika katika Galaxy fake ni Worse 8. Piia hizi Galaxy fake doesn’t offer any smart functions switch as eye tracking au smart stay 9. Pia kitu kingine rahisi zaidi cha kugunduka hizi fake ni memory yake inakuwa ndogo (internal) 10. Pia katika hizi fake Lock screen zake zinakuwa hazina Ripple effect 11. Pia hizi fake zinakuwa hazi-include Play Store.
Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
|
Sunday, 22 June 2014
Zitambue simu fake na Original SAMSUNG GALAXY S3
Related Posts:
Je!! Unaijua simu iliyouzwa zaidi duniani ? fuatilia hapa..... Nokia 1100, ndiyo simu iliyouzwa kwa idadi kubwa zaidi duniani Inaitwa Nokia 1100 (iliwahi kuwa na ndugu wa karibu Nokia 1101 na Nokia 1108), ndiyo simu iliyouzwa idadi kubwa zaidi duniani. Ina… Read More
Je!! Unamjua Mbwa Mkubwa Zaidi Duniani........muangalie hapa... Anaaminika kuwa kwenye wanyama wa kubwa aina ya Mbwa basi huyu anawezekana kuwa mbwa mkubwa zaidi. Jina alilopewa na mmiliki wake ni Freddy na anaurefu wa futi 7 na nchi 4. Mlo wake kwa siku una Kilo 6 anaishi Uinger… Read More
Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India Wanaharakati wamepinga vikali kuwaua Nguruwe wakisema ni kinyume na haki za wanyama Mji wa Shivpur nchini India umejiku… Read More
Uchunguzi kumbe Makalio Makubwa Kuna Vingi Ndani Yake Uchunguzi uliofanywa nchini Uingereza umeendelea kulipandisha chati umbo la kibantu, kwa kusema kwamba, kuwa na unene zaidi eneo la mapajani, katika makalio na katika mahips ni vizuri kiafya, na humzuia mtu asipate m… Read More
Je unazijua aina za vitambi....fuatilia hapa....!!!!! 1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto. 2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa. 3. Kit… Read More
0 comments:
Post a Comment