Facebook

Saturday, 7 June 2014

Baada ya dili la Beats, Dr Dre atumia dola millioni 40 kununua jumba hili la ajabu..

8Ukikamilisha dili la dola billion 3 utafanya kitu gani cha kwanza kabisa kutokana na hizo pesa ulizopata. Majibu yanaweza kuwa ni mengi kutokana na mawazo ya kila mtu.
Dr Dre ambaye amekamilisha dili la kuuza ya Beats kwa kampuni ya Apple ametumia zaidi ya dola million 40 kununua jumba la kifahari kutoka kwa modo tajiri Gisele Bundchen.
Jumba hilo lina vyumba vya kulala 8, sehemu 6 za kuegesha magari, mabafu 9, gym,bwawa kubwa la kuogelea,maporomoko ya maji na sehemu nyingine. Jumla eneo zima la nyumba lina square feet karibia 14,000.
Hicho ndicho alichofanya Dr Dre baada ya kupata pesa nyingi kutokana na dili la Beats, wewe ungefanya nini?
7
6
5
4
3
1
2

Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment