Facebook

Sunday, 8 June 2014

Dondoo muhimu kuhusiana na kombe la dunia nchini Brazil !


 Photo: ZIMESALIA SIKU SITA KABLA YA KOMBE LA DUNIA
Je wajua kwamba...
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, rangi itatumika na waamuzi kuweka alama uwanjani wakati wa free kick. Rangi hiyo ambayo hutengenzwa kwa kutumia zaidi maji, itatumika kuweka alama mahala hasa kosa au 'foul' ilipotokea ili mpira uwekwe hapo bila kusogezwa. Pia rangi hiyo itatumika kuchora mstari ambao timu inatakiwa "kujenga ukuta". Hii itaepusha wachezaji kuusogelea mpira kabla free kick haijapigwa. Rangi hiyo ni nyeupe na hufutika baada ya kama dakika moja. FIFA iliidhinisha matumizi ya rangi hiyo katika Kombe la Dunia 2014, baada ya kutumiwa na kupata mafanikio katika Kombe la Dunia kwa vijana chini ya miaka 20, mwaka 2013, Kombe la Dunia chini ya miaka 17, mwaka 2013, na katika Kombe la Dunia la vilabu mwaka 2013.

Je wajua kwamba...
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, rangi itatumika na waamuzi kuweka alama uwanjani wakati wa free kick. Rangi hiyo ambayo hutengenzwa kwa kutumia zaidi maji, itatumika kuweka alama mahala hasa kosa au 'foul' ilipotokea ili mpira uwekwe hapo bila kusogezwa. Pia rangi hiyo itatumika kuchora mstari ambao timu inatakiwa "kujenga ukuta". Hii itaepusha wachezaji kuusogelea mpira kabla free kick haijapigwa. Rangi hiyo ni nyeupe na hufutika baada ya kama dakika moja. FIFA iliidhinisha matumizi ya rangi hiyo katika Kombe la Dunia 2014, baada ya kutumiwa na kupata mafanikio katika Kombe la Dunia kwa vijana chini ya miaka 20, mwaka 2013, Kombe la Dunia chini ya miaka 17, mwaka 2013, na katika Kombe la Dunia la vilabu mwaka 2013.
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment