Facebook

Wednesday, 18 June 2014

Michael Schumecher ametoka hospitali.


Photo: SCHUMACHER ATOKA HOSPITALI
Bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langalanga Michael Schumacher ametoka hospitali na hayupo katika hali ya kutojitambua tena, kwa mujibu wa familia yake.
Mjerumani huyo anaendelea na matibabu katika eneo ambalo halijatajwa.
Schumacher aliwekwa katika hali ya kupoteza fahamu kwa njia za kitabibu baada ya kupata majeraha makubwa kichwani katika ajali ya mchezo wa kuteleza kwenye barafu mwaka jana. 
 
Bingwa wa zamani wa mbio za magari ya langalanga Michael Schumacher ametoka hospitali na hayupo katika hali ya kutojitambua tena, kwa mujibu wa familia yake.
Mjerumani huyo anaendelea na matibabu katika eneo ambalo halijatajwa.
Schumacher aliwekwa katika hali ya kupoteza fahamu kwa njia za kitabibu baada ya kupata majeraha makubwa kichwani katika ajali ya mchezo wa kuteleza kwenye barafu mwaka jana.
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment