Facebook

Monday, 2 June 2014

Majambazi yaendelea kulisakama jiji la Arusha

Screen Shot 2014-06-02 at 8.32.39 AM 
 Majambazi waliingia kwenye duka moja la kubadilishia fedha Clock tower karibu na house of wine Arusha mjini ambapo kifo cha huyu ndugu kilitokana na yeye kupiga kelele baada ya kuona majambazi hao wakitenda uhalifu.
Japo nasubiria ripoti kamili ya Polisi leo, taarifa za mwanzo zinasema Marehemu alipiga kelele hizo muda mfupi tu baada ya kutoka kanisani na akawa anasubiri watoto wake kwenye eneo la tukio ila alipoona dada ndani ya duka kavamiwa ndio akaanza kupiga kelele za kuomba msaada.
Screen Shot 2014-06-02 at 8.33.35 AM



Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment