Facebook

Thursday, 12 June 2014

Soko la Karume lateketea kwa moto Usiku.

 
Usiku wa kuamkia leo umekuwa mbaya kwa wafanya biashara wa Eneo la karume baada ya mabanda ya wamachanga katika eneo hilo kuteketea kwa moto , Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni  "Mama Ntilie" (ambao inasemekana huchemsha maharage na kuyaacha usiku ili yaive vizuri)

Moto ulikuwa ni mkubwa sana kiasi cha Fire kushindwa kuuzima ikichukulia walichelewa kufika katika eneo la tukio , Soko la karume ni lile lililo pale karibu na kiwanda cha bia cha TBL
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

0 comments:

Post a Comment