
Usiku wa kuamkia leo umekuwa mbaya kwa wafanya biashara wa Eneo la
karume baada ya mabanda ya wamachanga katika eneo hilo kuteketea kwa
moto , Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni "Mama Ntilie" (ambao
inasemekana huchemsha maharage na kuyaacha usiku ili yaive vizuri)
Moto ulikuwa ni mkubwa sana kiasi cha Fire kushindwa kuuzima ikichukulia walichelewa kufika katika eneo la tukio , Soko la karume ni lile lililo pale karibu na kiwanda cha bia cha TBL
Moto ulikuwa ni mkubwa sana kiasi cha Fire kushindwa kuuzima ikichukulia walichelewa kufika katika eneo la tukio , Soko la karume ni lile lililo pale karibu na kiwanda cha bia cha TBL

Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment