Facebook

Sunday, 8 June 2014

Channel O wampigia magoti Diamond....

http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/06/4X7A9749.jpg?resize=618%2C412 
Katika hali isiyo ya kawaida Diamond Platnumz azidi kutokewa na bahati kila siku, ila kwa hili si bahati tu,ila ni zaidi ya bahati kwa sababu haijawahi kutoke kwa mwanamuziki yeyote mwingine hapa east africa.
Story nzim ilikuwa hivi;Mapema alhamisi ya wiki hii Diamond platnumz alikutana na manager wa televisheni ya kimataifa ya Channel O, Diamond akiwa anahojiwa na kipindi kimoja cha redio alizidi kufunguka zaidi na kusema , alipokutana na manager huyo, alipata nafasi ya kumuonyesha video yake mpya aliyoifanya huko uingereza, ile kuiona tu hakuamini kuwa kuna vitu adimu kama hivi huku east africa, na kumuomba Diamond hapo hapo aweze kumpa uwezo wa kuicheza exclusive (kwa mara ya kwanza) video hiyo Channel O, Diamond aliona kama utani hivi ila bada ya kuongea na producer wa video hiyo, ambaye ndiye aliyeitengeneza video yake ya my number one remix  aitwaye Clarence, alimpa meneja huyo wa Channel O na baada ya muda, alishtuka kuona watu wakimtumia ujumbe kumpa hongera kutokana na video hiyo jinsi ilivyo kali baada ya kupigwa Channel O.
“Ilikuwa tuitoe officialy kwenye media baada ya tuzo hizi kuisha na tulisubiri muda mzuri wa kuachia video hiyo, ila imetokea kama bahati ya kuombwa video hiyo kupigwa exclusive katika channel O, cause walisema lete tuipige kipindi hiki, tuonyeshe vipaji vilivyotoka east africa, na nashukuru kwa hilo, ila naona officialy hivi karibuni itabidi niitoe pamoja na nyimbo yake”- alimalizia Diamond Platnumz 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment