Facebook

Saturday, 7 June 2014

Demu wa Young Killer ni shida.. Sasa atuonyesha umbo lake..

 

Baada ya kugeuza noti za buku 10 kuwa shuka mrembo wa rapper‘Mrs Supastaa’ wa Young Killer aitwaye Halimaty ameendelea kumake headlines kwa picha zake kwenye mtandao wa Instagram. Na sasa ameamua kuwaonesha followers wake umbo lake lililomfanya apate cheo cha ‘Umrs Supastaa’ 




Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

0 comments:

Post a Comment