Kufuatia kifo cha mtoto Nasra, almaarufu kama ‘mtoto wa boksi’, kuna
kila dalili kwamba kifo chake kimetokana na maradhi aliyoyapata wakati
akiwa anaishi kwenye boksi. Kwa kuwa imethibitika kwamba mtoto alifariki
kutokana na ugonjwa wa pumu—kufuatia kufungiwa kwenye mazingira
machafu, kutoogeshwa na kupigwa na baridi masaa 24, na kwa kuwa wahusika
waliokuwa wakimfanyia ukatili huo tayari walishakamatwa na kufunguliwa
mashitaka ya kula njama za kumtesa mtoto huyo mdogo asiyekuwa na hatia
na asiyeweza kujitetea, mawakili wanaosimamia kesi hii watabadilisha
masitaka ya kesi na kuwa KESI YA MAUAJI YA KUKUSUDIA.
Adhabu kwa mtu anayeua kwa kukusudia ni KUNYONGWA MPAKA KUFA. Kwa hiyo,
wahusika wanasubiri kunyongwa hadi kufa pindi hukumu ya kesi hii
itakapotoka. Na kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani hawa
wanadamu wasokuwa na haya, wajiandae kupokea kitanzi ili liwe fundisho
kwa washenzy wengine wenye tabia za kinyama kawa hawa wendawazimu.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment