Facebook

Saturday, 7 June 2014

Diamond azidi kupiga hatua,account yake ya twitter imekuwa verified


  Kama wasanii wengine wakubwa duniani, account ya Twitter ya Diamond imekuwa verified jana hii June 6.

Diamond sasa ni mmiliki halali wa account hiyo itakayokuwa ikimtambulisha duniani kote na mashabiki zake kuweza kumtamua kwa haraka, ukiringanisha na account zingine kibao ambazo zimefunguliwa zenye jina lake
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment