Facebook

Sunday, 8 June 2014

H-Baba alazwa Muhimbili kwa maradhi ya Dengue



Mwanamuziki / Muigizaji wa Filamu H-Baba amelazwa kwenye Hospitali ya Muhimbili baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa Dengue.
Awali H-Baba hali yake ilikuwa mbaya siku ya Jumatano alipokuwa anajiandaa kwenda kuaga mwili wa Marehemu George Tyson. Alianguka na kushindwa kuhudhuria.
Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.




Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment