
Mwanamuziki / Muigizaji wa Filamu H-Baba amelazwa kwenye Hospitali ya Muhimbili baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa Dengue.
Awali H-Baba hali yake ilikuwa mbaya siku ya Jumatano alipokuwa anajiandaa kwenda kuaga mwili wa Marehemu George Tyson. Alianguka na kushindwa kuhudhuria.
Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment