Facebook

Tuesday, 17 June 2014

Mama Kanumba kumfuta mdogo wa marehemu Kanumba "Seth Bosco" kwenye kampuni ya Kanumba

Mama-wa Marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amemchimba mkwara mzito mdogo wa marehemu, Seth Bosco baada ya kuona amefanya kosa na kuamua kumtishia kuwa atamfuta kwenye Kampuni ya Kanumba The Great. 

Mama huyo pasipo kuweka wazi moja kwa moja tatizo, alisema kuwa kuna kosa kubwa Seth alilifanya na alishindwa kulivumilia hivyo kumuonya kuwa atamuondoa kwenye kampuni.“Ni juzi tu amefika nyumbani kwangu kuniomba msamaha nimemsamehe kama mtoto ingawa kwenye kampuni hatashiriki kwa sasa kwani ameanza kazi zake nyingine,” alisema.
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
 

0 comments:

Post a Comment