| Askari wa usalama barabarani, Kinondoni, wakitoa maelezo kwa madereva wanaofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo. |
| Mwonekano wa kituo kipya cha Makumbusho. |
| Stendi ya Makumbusho kabla haijaanza kutumika. |
Wengi walitaka barabara za hapo ziwekwe lami, na wengine wakataka nauli ya kutoka Bagamoyo iongezwe kwani mabasi sasa hayaishii Mwenge bali Makumbusho.
| Huduma ya usafiri ikiendelea kama kawaida eneo la Makumbusho. |
| Mmoja wa madereva wa daladala akiuliza swali kwa viongozi wa usalama barabarani (hawako pichani). |
| Muonekano mpya wa kituo cha Mwenge baada ya kuhamishwa |
| Barabara ya kuingilia Makumbusho kwa magari yanayotokea Kawe, Kunduchi, Bunju na maeneo hayo. |
| Shimo lililojaa maji katika njia ya kutokea daladala ziendazo Kunduchi, Kawe na Bunju. |
| Askari wa usalama barabarani wakiwa katika kituo kipya cha Makumbusho ili kutoa ushauri na miongozo. |
| Afisa Mfawidhi wa Sumatra Kanda ya Mashariki, Conrad Shio (kulia) akizungumzia kuhamishwa kwa kituo cha Mwenge kwenda Makumbusho |
0 comments:
Post a Comment