Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika
ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… Kupitia page
yake ya instagram Wema ameandika ‘Jamani hizi habari za mimi kuwa
pregnant…. sijui watu wanatolea wapi… Im NAT… Dah… I wish I was… But im
nat wapenzi wangu’

Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
0 comments:
Post a Comment