Facebook

Tuesday, 17 June 2014

Unamjua kidume anayemfaidi Agnes Masogange ?

Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini South Africa na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa Instagram

Sasa mimi sijajua Sauzi anafanya nini...(Kwa hapa huwa anajishughulisha na kazi ya u-Video Queen)
Kupitia kile anachoweka huko Instagram hatimaye imedhihilika wazi kwa jamaa hapo pichani anaitwa Louis Dolnard... ndio mpango mzima kwa dada yetu...TEMBEA NAMI


kwanza ya huyu jamaa alipost miezi miwili iliyopita!!
Wambea tukapotezea!!! Dah

Wiki iliyopita alitupia tena picha ya huyu jamaa bila kuandika chochote ......watu tukahisi kuna....kuna kitu kinaendelea hapa....hahahahahaha!!!!


Na kweli toka jana usiku fujo ikaanza huko Instagram..Masogange aliweka picha hapo chini na kuandika"Mtoto si unanielewa, in Diamond Voice
 punde jamaa nae akaposti the same picha na kuandika "With my Everything


Daah kumbe nilikuwa nachelewa...jamaa kitambo alishawekawazi kupitia ukurasa wake wa Instagram.....

Alikuwa anawekapicha za Masogange na kufunguka ya moyoni......!!!
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
 

0 comments:

Post a Comment