TAIFA
STARS jana huko Harare, ilifanikiwa kutoka Sare ya Bao 2-2 na Zimbabwe
katika Mechi ya Marudiano ya Raundi ya Pili ya Mtoano ya AFCON 2015 na
hivyo kufuzu kusonga Raundi ya Tatu ya Mtoano kwa Jumla ya Mabao 3-2
baada ya kushinda Mechi ya Kwanza Bao 1-0.
Kwenye Raundi ya Tatu, Taifa Stars
watacheza na Mshindi kati ya Msumbiji na South Sudan ambao katika Mechi
yao ya kwanza Mozambique, wakicheza Nyumbani, waliichabanga South Sudan
Bao 5-0.
Leo hii, Zimbabwe walitangulia kupata
Bao na Stars kusawazishwa kupitia Cannavaro na kisha Thomas Ulimwengu
kufunga Bao la Pili lakini Zimbabwe wakasawazisha na Mechi kwisha 2-2.
RAUNDI YA PILI YA MTOANO
[Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza]
Jumamosi Mei 31
Uganda 1 Madagascar 0 [2-2, Uganda yafuzu kwa Goli la Ugenini]
Botswana 1 Burundi 0 [1-0]
Rwanda 3 Libya 0 [3-0]
Sierra Leone 1 Swaziland 0 [2-1]
Guinea-Bissau 3 Central African Republic 1 [3-1]
Jumapili Juni 1
Zimbabwe 2 Tanzania 2 [2-3]
Lesotho 2 Liberia 0 [2-1]
14:30 Congo v Namibia [0-1]
15:00 Benin v Sao Tome And Principe [2-0]
15:00 Chad v Malawi [0-2]
16:00 Equatorial Guinea v Mauritania [0-1]
HABARI ZA AWALI:
AFCON 2015-MOROCCO: DROO YAFANYIKA!
TANZANIA v ZIMBABWE RAUNDI YA 2, MSHINDI KUCHEZA NA MOZAMBIQUE/SOUTH SUDAN!
DROO ya Mashindano ya Mataifa ya Africa,
rasmi kama Orange Africa Cup of Nations Morocco 2015, ambayo Fainali
zake zitachezwa huko Morocco kati ya Tarehe 17 Januari hadi 8 Februari
2015, imefanyika hii Leo huko Cairo, Egypt.
Nchi 51 zitashiriki Mashindano haya
ambapo Mauritania na South Sudan zilishinda toka Raundi ya Kwanza na
kutinga Raundi ya Pili ya Mtoano ambayo Tanzania itacheza na Zimbabwe.
Washindi 14 wa Raundi ya Pili ya Mtoano
wataingia Raundi ya Tatu ya Mtoano ili kupata Timu 7 zitakazosonga
kwenye Makundi ambayo hii Leo pia yamepangwa.
Ikiwa Tanzania itaitoa Zimbabwe basi
kwenye Raundi ya Tatu ya Mtoano itacheza na Mshindi kati ya Mozambique
na South Sudan na Tanzania ikipita hapo itaingia KUNDI F ambako ziko
Zambia, Cape Verde na Niger.
Yapo Makundi 7 ambapo Mshindi wa Kila
Kundi na Mshindi wa Pili wa Kila Kundi pamoja na Timu moja iliyofuzu
Nafasi ya 3 Bora katika Makundi ndizo zitaingia Fainali kuungana na
Morocco na kufanya idadi ya Timu 16 kwenye Fainali.
RATIBA/MAKUNDI:
Nchi ambazo zimeingia Makundi moja kwa moja:
Nigeria, Ghana, Ivory Coast, Zambia, Burkina Faso, Mali, Tunisia,
Algeria, Angola, Cape Verde, Togo, Egypt, South Africa, Cameroon, DR
Congo, Ethiopia, Gabon, Niger, Guinea, Senegal and Sudan.
RAUNDI YA PILI YA MTOANO
Mechi Na 1: Liberia vs Lesotho
Mechi Na 2: Kenya vs Comoros
Mechi Na 3: Madagascar vs Uganda
Mechi Na 4: Mauritania vs Equatorial Guinea
Mechi Na 5: Namibia vs Congo
Mechi Na 6: Libya vs Rwanda
Mechi Na 7: Burundi vs Botswana
Mechi Na 8: Central African Republic vs Guinea Bissau
Mechi Na 9: Swaziland vs Sierra Leone
Mechi Na 10: Gambia vs Seychelles
Mechi Na 11: Sao Tome e Principe vs Benin
Mechi Na 12: Malawi vs Chad
Mechi Na 13: Tanzania vs Zimbabwe
Mechi Na 14: Mozambique vs South Sudan
**Mechi za Kwanza 16,17,18 Mei 2014
**Mechi za Marudiano 30,31 Mei au 1 Jun1 2014
RAUNDI YA TATU YA MTOANO
**WASHINDI 14 wa Raundi ya Pili ya Mtoano watacheza Raundi hii
|
TIMU |
MECHI NA |
TIMU |
Mechi ya Kwanza |
Mechi ya Pil |
|
Mshindi Mechi Na 1 |
1/2 |
Mshindi Mechi Na 2 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 3 |
3/4 |
Mshindi Mechi Na 4 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 5 |
5/6 |
Mshindi Mechi Na 6 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 7 |
7/8 |
Mshindi Mechi Na 8 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 9 |
9/10 |
Mshindi Mechi Na 10 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 11 |
11/12 |
Mshindi Mechi Na 12 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
|
Mshindi Mechi Na 13 |
13/14 |
Mshindi Mechi Na 14 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
MAKUNDI:
KUNDI A
-Nigeria
-South Africa
-Sudan
-Mshindi 5/6
KUNDI B
-Mali
-Algeria
-Ethiopia
Mshindi 11/12
KUNDI C
-Burkina Faso
-Angola
-Gabon
-Mshindi 1/2
KUNDI D
-Ivory Coast
-Cameroun
-Congo DR
-Mshindi 9/10
KUNDI E
-Ghana
-Togo
-Guinea
Mshindi 3/4
KUNDI F
-Zambia
-Cape Verde
-Niger
-Mshindi 13/14
KUNDI G
-Tunisia
-Egypt
-Senegal
-Mshindi 7/8
**WASHINDI wa kila Kundi pamoja
na Mshindi wa Pili wa kila Kundi na Timu 1 Bora iliyo nafasi ya Tatu
watatinga kucheza Fainali na kujumuika na Wenyeji Morocco kufanya Jumla
ya Nchi 16.
RATIBA:
|
Steji |
Mechi |
Tarehe |
|
Raundi ya Awali |
Raundi ya Awali, Mechi ya 1 |
11–13 Aprili 2014 |
|
Raundi ya Awali, Mechi ya 2 |
18–20 Aprili 2014 |
|
|
Raundi ya Pili, Mechi ya 1 |
16–18 Mei 2014 |
|
|
Raundi ya Pili, Mechi ya 2 |
30 Mei–1 Juni 2014 |
|
|
Raundi ya Tatu, Mechi ya 1 |
18–20 Julaiai 2014 |
|
|
Raundi ya Tatu, Mechi ya 2 |
1–3 Agosti 2014 |
|
|
Makundi |
Mechi ya 1 |
5–6 Septemba 2014 |
|
Mechi ya 2 |
10 Septemba 2014 |
|
|
Mechi ya 3 |
10–11 Oktoba 2014 |
|
|
Mechi ya 4 |
15 Oktoba 2014 |
|
|
Mechi ya 5 |
14–15 Novemba 2014 |
|
|
Mechi ya 6 |
19 Novemba 2014 |
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali za michezo kwa muda na wakati muafaka.
0 comments:
Post a Comment